Posted on: November 3rd, 2021
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Magu BI FIDELICA GABRIEL MYOVELA akitoa ufafanuzi katika baraza la madiwani juu ya taarifa ya miradi ya maendeleo katika robo ya kwanza july-sept 2021...
Posted on: November 2nd, 2021
Kikao cha kamati ya lishe ya wilaya ya magu kinachojumuisha wakuu wa idara za afya, kilimo, elimu,na mifugo kilichofanyika tarehe 02/11/2021 lengo la kikao hicho lilikuwa ni kutathimini hali ya lishe ...
Posted on: October 26th, 2021
MKuu wa mkoa wa mwamza mhandisi ROBERT GABRIEL amezindua shughuli ya ujenzi wa vyumba vya madarasa kutokana na fedha za mfuko wa maendeleo ya uviko 19...