• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Mifugo na Uvuvi

IDARA YA MIFUGO NA UVUVI

UTANGULIZI:

Idara ya Mifugo inaundwa na vitengo viwili (2). Kitengo cha Mifugo na kitengo cha Uvuvi. Jumla ya watumishi wa idara ni 55 ambapo kitengo cha Mifugo kina watumishi 43 na kitengo cha Uvuvi kina watumishi 12.

Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, Wilaya ya Magu ina jumla ya ng’ombe 204,250 wa asili, ng’ombe 259 wa kisasa, punda 318, mbuzi 61,007 kondoo 38,645, nguruwe 1,603, mbwa 6560, paka 2460, kuku wa asili 385,557 na kuku wa mayai 18,397.

Kwa mujibu wa Sensa ya Wavuvi ya mwaka 2016, wilaya ya Magu ina jumla ya wavuvi 2708 wenye kumiliki mitumbwi 581 na nyavu 13088. Pia  wilaya ina wafugaji wa samaki 110 wenye jumla ya  mabwawa 135.

MALENGO YA IDARA

Lengo kubwa ni kuhakikisha wafugaji wanapata Elimu ya ufugaji bora wa kisasa na wenye tija kwa nia ya kumfanya mfugaji aongeze kipato ili aondokane na umaskini uliokithiri lakini pia kuongeza pato la Taifa.

VITENGO VYA IDARA NA MAJUKUMU YAKE

  • KITENGO CHA MIFUGO
  • kutoa elimu, ushauri, huduma za kinga/tiba na uzalishaji wa malisho bora ya mifugo
  • Kufanya tafiti za magonjwa ya mifugo kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali kama vile Kituo cha uchunguzi wa Magonjwa ya Mifugo kanda ya Ziwa (ZVIC) Mwanza
  • Kuhakikisha usalama wa nyama kwa matumizi ya binadamu
  • Kujenga miundombinu rafiki kwa wafugaji kama vile Majosho,Machinjio,na Malambo
  • Kudhibiti mifugo inayoingia na kutoka ili kuepuka magonjwa ya milipuko na migogoro kati ya wakulima na wafugaji
  • Kuunda vikundi vya wafugaji ili kuwafikishia huduma za ugani wa shughuli za mifugo kwa urahisi
  • Kusimamia miongozo mbalimbali na sera katika sekta ya Mifugo
  • Kusimamia matumizi ya raslimali za kitengo cha mifugo
  • Kuandaa taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Mifugo za kila mwezi, robo mwaka na mwaka na kuziwasilisha kwenye mamlaka zinazohusika
  • Kufanya usajili na utambuzi wa mifugo na wafugaji ili kubaini idadi kamili ya mifugo na wafugaji katika wilaya
  • Kuanzisha minada mipya kwa kufuata miongozo, taratibu na sheria zilizopo ili Halmashauri iweze kuongeza mapato ya ndani na wafugaji kuvuna mifugo yao kwa urahisi
  • KITENGO CHA UVUVI
  • Kusimamia, kudhibiti na kuendeleza tasnia ya uvuvi kwa jamii ya wavuvi
  • Kuratibu maendeleo ya siku kwa siku ya teknolojia ya uvuvi ili kuwa na uvuvi endelevu
  • Kusimamia raslimali za uvuvi
  • Kutoa Elimu ya ufugaji bora wa samaki
  • Kubuni njia ya kuinua sekta ya uvuvi ili kuchangia pato la wilaya na pato la taifa (GDP) kwa kusanifu miundimbinu muhimu ya uzalishaji, usafirishaji na uhifadhi wa mazao ya uvuvi ili kuvutia soko la uwekezaji.
  • Kutatua mizozo itokanayo na maslahi ya makundi mbalimbali katika matumizi ya rasilimali ya ziwa kwa kutumia misingi ya utawala bora na utii wa sharia bila shuruti

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WADAU WA SANAA MAGU WATAKIWA KUJISAJILI BASATA

    May 07, 2025
  • INEC YARIDHISHWA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA MAGU

    May 03, 2025
  • DC Magu:Wazazi pelekeni watoto wapate chanjo ya polio

    April 30, 2025
  • WAANDISHI, WAENDESHA BVR 136 WALA KIAPO MAGU

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa