Posted on: September 15th, 2025
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa wito kwa wananchi wote wenye umri wa kuanzia miaka 18 ambao wamekosa elimu ndani ya mfumo rasmi kutumia fursa ya uwepo wa vituo vya elimu ya watu wazima ...
Posted on: September 4th, 2025
Kamati ya lishe Halmashauri ya Wilaya ya Magu leo tarehe 4 Septemba, 2025 imefanya kikao maalum cha tathmini ya utekelezaji wa afua za lishe kwa kipindi cha April hadi Juni, 2025 ambapo pamoja na mamb...
Posted on: August 27th, 2025
MWENGE wa Uhuru umepokewa leo tarehe 27 Agosti, 2025 wilayani Magu kutokea wilayani Ilemela na unatarajiwa kupitia miradi nane yenye thamani ya Sh bilioni 2.
Akipokea Mwenge huo katika hafla iliyof...