Posted on: August 30th, 2023
Halmashauri ya Wilaya ya Magu imesema kuwa katika mwaka wa fedha 2023-2024 imejipanga kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo iliyoanzishwa na wananchi kwa kutumia mapato ya ndani n...
Posted on: August 23rd, 2023
Kamati ya Fedha ya Halmashauri ya Wilaya ya Magu ikiongozwa na Mwenyekiti Bw. Mpandalume Simon imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maji inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu.
...
Posted on: August 21st, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Magu Rachel Kassanda anaendelea na ziara ya kukagua shughuli mbalimbali za miradi ya maendeleo Wilayani humo Leo ametembelea mradi wa maji majibomba Chabula- Bugando unaotekele...