Posted on: October 28th, 2023
Kamati ya fedha , Uongozi na mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Magu ikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mh. Simon Mpandalume imefanyika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo inayoteke...
Posted on: October 14th, 2023
Wananchi wa Wilaya ya Magu wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuchangia damu ili kuokoa maisha ya watanzania wanaohitaji damu ili kusaidia uwepo wa damu ya kutosha na kuweza kusaidia maisha ya wagonjwa ....
Posted on: October 7th, 2023
Halmashauri ya Wilaya ya Magu imepongezwa katika kutumia mifumo ya Tehama kwenye utoaji wa huduma za kijamii ambayo yamerahisisha huduma hizo katika sekta ya Afya, Elimu na maendeleo ya jamii.
...