Posted on: October 12th, 2024
MWENGE wa Uhuru leo Jumamosi umezindua mradi wa ujenzi wa shule mpya ya msingi Igudija uliogharimu kiasi cha Sh milioni 540.3 fedha kutoka Serikali Kuu kupitia Programu ya BOOST.
Mradi huo unajumui...
Posted on: October 13th, 2024
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Godfrey Mzava ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Nyanguge wilayani Magu mkoani Mwanza na kueleza...
Posted on: October 15th, 2024
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stagomena Tax leo Jumanne amejiandikisha katika daftari la wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mitaa katika kituo cha Unyamwezini kilichopo kata ya I...