• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

DC LAWUO ATEMBELEA BANDA LA MAGU MAONESHO YA NANENANE,2025

Posted on: August 4th, 2025

-Mamia wafika kujionea na kupata elimu ya ufugaji

MKUU wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo ametembelea banda la Halmashauri ya wilaya hiyo katika maonesho ya wakulima, wafugaji na wavuvi (Nanenane) yanayoendelea katika viwanja vya Nyamhongolo mkoani Mwanza na kupongeza teknolojia za kisasa zilizoletwa na wataalamu wa wilaya hiyo kwa ajili ya kuwaelimisha wananchi.

DC Lawuo alitembelea banda la halmashauri ya Magu jana Agosti 3, 2025 na kuelekeza kuridhishwa na maandalizi kabambe yaliyofanywa na wataalam wa sekta hiyo hususani katika utoaji elimu kwa wafugaji, wavuvi na wakulima.

Katika maonesho hayo ambayo yalianza Agosti Mosi, wananchi wamekuwa wakifurika katika banda la Magu kujionea teknolojia mbalimbali za ufugaji wa samaki pamoja na vifaranga wake, ufugaji wa mifugo mbalimbali ya kisasa pamoja na kilimo cha umwagiliaji kama vile uandaaji wa mbegu bora za mpunga.

Januari Simba ambaye ni mtaalamu wa ufugaji na uvuvi wa samaki amemueleza mkuu wa wilaya hiyo pamoja na wananchi waliofika bandani hapo namna walivyobuni teknolojia ya kisasa ya kuangua vifaranga wa samaki pamoja na ufugaji wa samaki aina ya sato katika mabwawa madogo kwenye makazi.

 

Kwa upande wake Afisa Kilimo anayeshughulikia kilimo cha umwagiliaji hususani mpunga, Zawadi Madoshi naye amewakaribisha wananchi kwenda kujifunza namna ya kutumia teknolojia ya maji, chumvi na yai kupata mbegu bora ya mpunga.

Nanenane 2025 imekuja na kauli mbiu isemayo “Chagua Viongozi Bora kwa maendeleo ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi”.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA MAGU WAASWA KUSIMAMIA KIAPO

    August 06, 2025
  • WASIMAMIZI 50 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA MAGU WAPEWA MAFUNZO

    August 04, 2025
  • WASIMAMIZI 50 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA MAGU WAAPISHWA

    August 04, 2025
  • DC LAWUO ATEMBELEA BANDA LA MAGU MAONESHO YA NANENANE,2025

    August 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa