Posted on: January 16th, 2026
MKUU wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo ameitembelea familia ya Mzee Shadrack Ntagala (66) iliyopata ajali ya moto na kuipa pole huku akiwasisitiza wananchi kuchukua tahadhari ya matumizi ya vifaa vya ...
Posted on: January 14th, 2026
BARAZA la Wafanyakazi Magu limewachagua Lilian Michael kuwa katibu wa baraza pamoja na Allypius Pauliny kuwa katibu msaidizi.
Uchaguzi huo uliosimamiwa na Afisa Kazi wa mkoa wa Mwanza, Peace Fe...
Posted on: December 19th, 2025
Katika kukabiliana na magonjwa ya mlipuko hususan kipindupindu, Kitengo cha usimamizi wa taka na usafi kimefanya ziara ya kutoa elimu ya usafi kwa wafanyabiashara katika Soko la Ilungu Kata ya Nyigogo...