Posted on: July 10th, 2025
Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Magu imetoa mafunzo elekezi kwa walimu 120 ajira mpya waliohudhuria mafunzo hayo ambapo walimu 57 ni wa shule za sekondari na 63 shule za msingi katika wilaya ya Magu....
Posted on: July 10th, 2025
MKUU wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, Jubilate Win Lawuo ameongoza kikao cha maandalizi ya mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 kilichofanyika leo tarehe 10 Julai, 2025 katika ofisi za Halmashauri ya wilayani...
Posted on: July 5th, 2025
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax ametoa msaada wa mashine mbili za kudurufu mitihani kwa shule ya msingi Moha na shule ya sekondari Magu mjini zilizopo wilaya Magu mkoani...