• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

WFANYABIASHARA WA MASOKO MAGU WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA KWA KUFANYA USAFI

Posted on: December 19th, 2025

Katika kukabiliana na magonjwa ya mlipuko hususan kipindupindu, Kitengo cha usimamizi wa taka na usafi kimefanya ziara ya kutoa elimu ya usafi kwa wafanyabiashara katika Soko la Ilungu Kata ya Nyigogo Wilayani Magu , ikiwa ni sehemu ya jitihada za kulinda afya za wananchi hasa katika msimu huu wa mvua na kipindi cha msimu wa matunda aina ya maembe.

Akizungumza na wafanyabiashara hao leo Ijumaa Desemba 19 , Mkuu wa Kitengo hicho Bwa. Francisco Ndazi alisisitiza umuhimu wa kudumisha usafi wa mazingira ya soko, akiwataka wafanyabiashara wote kuzingatia utaratibu uliowekwa wa kufanya usafi kila siku ya Ijumaa kwa kushiriki kikamilifu bila kukosa.

Aidha, aliwataka kuacha tabia ya kutupa taka ovyo ndani ya soko, na badala yake kutumia eneo maalum lililotengwa kwa ajili ya kumwagia taka ili kusaidia kulinda afya ya jamii na mazingira.

Mkuu huyo alibainisha kuwa ziara kama hiyo itaendelea kufanyika katika masoko yote ya halmashauri ili kuhakikisha elimu ya usafi inawafikia watu wote, huku akitoa wito kwa wananchi wote kuzingatia usafi wa mazingira kipindi chote cha mvua.

Kwa upande wao, wafanyabiashara wa soko hilo walipongeza ziara hiyo, wakieleza kuwa imetolewa kwa wakati muafaka na kuahidi kuzingatia usafi wa mazingira kwa manufaa ya wote.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WFANYABIASHARA WA MASOKO MAGU WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA KWA KUFANYA USAFI

    December 19, 2025
  • TALGWU YASISITIZA NIDHAMU, WELEDI NA UTIIFU KWA WANACHAMA WAKE

    December 18, 2025
  • UMOJA WA MAEDEREVA WA HALMASHAURI WATAMBULISHA CHAMA CHAO KWA MKURUGENZI MTENDAJI MAGU

    December 11, 2025
  • WANANCHI MAGU WASHIRIKI ZOEZI LA UPIGAJI KURA KWA AMANI NA UTULIVU

    October 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa