• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

WANANCHI WA MWAMANGA WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPATIA HATI ZA HAKIMILIKI ZA KIMILA

Posted on: February 3rd, 2026

Wananchi wa Kijiji cha Mwamanga, Kata ya Mwamanga wilayani Magu wameishukuru serikali kwa kuwapimia maeneo yao na kuwapatia hati za hakimiliki za kimila hatua inayoelezwa kuwa itapunguza migogoro na kupandisha thamani ya ardhi zao.

Shukrani hizo wamezitoa wakati wa zoezi la ugawaji wa hati kwa wananchi wa Kijiji hicho ambapo hati 868 zilitolewa mara baada ya serikali kupitia wizara ardhi na halmashauri ya wilaya ya Magu  kuendesha zoezi la kufanyika mpango wa matumizi bora ya ardhi  pamoja na upimaji wa ardhi katika Kijiji hicho.

Akizungumza baada ya kupokea hati zake, Bi. Yunis Lubeja mkazi wa Mwamanga ameishukuru serikali kwa hatua hiyo na kubainisha  kuwa upatikanaji wa hati za ardhi utawasaidia kuongeza thamani ya ardhi zao pamoja na kupunguza migogoro ya ardhi iliyokuwa ikiibuka mara kwa mara.

Alibainisha kuwa wakati Serikali ilipoanza zoezi la kupanga na kupima maeneo, baadhi ya wananchi walidhani ni utapeli na walihofia kuporwa ardhi zao. Hata hivyo, baada ya kuona matokeo chanya ya zoezi hilo, aliishukuru Serikali kwa ufanisi wake na kuwasihi wananchi wengine ambao bado hawajapimiwa maeneo yao kujitokeza ili nao wanufaike na mpango huo.

Kwa upande wake, Afisa Ardhi wa Halmashauri ya wilaya ya Magu Bw. Gracian Nyangindu aliwashukuru wananchi kwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi hilo na kuwataka kuzitunza hati zao vizuri.

 Alisisitiza umuhimu wa hati hizo kama nyaraka halali za umiliki wa ardhi na kuwaasa wananchi kuzitumia kwa maendeleo yao na ya kijiji kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI WA MWAMANGA WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPATIA HATI ZA HAKIMILIKI ZA KIMILA

    February 03, 2026
  • MADIWANI MAGU WAPIGWA MSASA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 29, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI Y SHILINGI BILIONI 73.25

    January 29, 2026
  • MAGU YANNZA UTEKELEZAJI BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 26, 2026
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa