• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

MAGU YAPONGEZWA KWA KUIMARISHA MAZINGIRA RAFIKI YA UFANYAJI BIASHARA

Posted on: February 10th, 2026

Na Mwandishi Wetu, Mwanza

Sekta ya Biashara na Uwekezaji katika Wilaya ya Magu imepongezwa kwa kuboresha mazingira rafiki ya ufanyaji wa biashara hatua iliyochochea ongezeko la makusanyo ya mapato kutoka wafanyabiashara na wawekezaji wanaotumia fursa zilizopo kukuza uchumi wa wilaya hiyo.

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Chemba ya Taifa ya Biashara wilayani Magu (TNCC), Dominique Bubeshi wakati akichangia mjadala katika Kikao cha Baraza la Biashara la Wilaya ya Magu kilichofanyika katika mjini Magu mkoani Mwanza.

Amesema katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita wafanyabiashara wilayani Magu wamepewa ushirikiano wa kutosha kutoka na maofisa biashara na watalaam wengine wa halmashauri ya Magu hali iliyowafanya kuchangia mapato ya halmashauri kwa hiari na kwa kiwango cha kuridhisha.

Ametoa mfano katika kipindi cha mwaka 2021/2022 makusanyo ya leseni za biashara yalikuwa milioni 185.7 lakini hadi kufikia mwaka 2024/2025 mapato hayo yamefikia milioni 300.4

“Pia sasa hali ni tofauti kwani wafanyabiashara wakisikia maofisa biashara kutoka halmashauri wanaenda kuwatembelea, hawakimbii tena na kufunga fremu zao, kwa sababu wametengeneza mazingira rafiki ya ukusanyaji mapato badala ya kufunga biashara,” amesema.

Awali akifungua kikao hicho, Mwenyekiti wa baraza hilo ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo aliwasisitiza wajumbe wa baraza hilo kuendelea kutoa ushirikiano kwa maofisa wa halmashauri hiyo ili kuendelea kusukuma gurudumu la maendeleo kwenye wilaya ya Magu.

Naye Katibu wa Baraza hilo ambaye pia ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo, Mohamed Ramadhani alisema ameanzisha kanda nne za ukusanyaji mapato ili kusaidia wananchi kupata huduma zinazopatikana katika ofisi kuu kwa urahisi.

Alitaja kanda hizo kuwa ni Kisesa, Nyanguge, Magu pamoja na Kabila ambapo zimesheheni watalaam mbalimbali watakaowapatia wananchi huduma muhimu ikiwamo matumizi ya mfumo Tausi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAGU YAPONGEZWA KWA KUIMARISHA MAZINGIRA RAFIKI YA UFANYAJI BIASHARA

    February 10, 2026
  • MAGU YAPONGEZWA KWA KUIMARISHA MAZINGIRA RAFIKI YA UFANYAJI BIASHARA

    February 10, 2026
  • MAGU YAGAWA VIFAA SAIDIZI KWA WALIMU WENYE MAHITAJI MAALUMU

    February 04, 2026
  • WANANCHI WA MWAMANGA WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPATIA HATI ZA HAKIMILIKI ZA KIMILA

    February 03, 2026
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa