• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

ZIARA YA KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YA BARAZA LA MADIWANI H/MASHAURI MAGU

Posted on: February 14th, 2022

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Magu bw SIMON MPANDALUME  leo tarehe 14/02/2022  ameongoza Kamati ya  uongozi  na fedha ya  Halamashauri hiyo  katika ziara ya kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa kutokana na fedha toka serikali kuu na zile za mapato ya ndani  katika ziara hiyo kamati hiyo imetembelea miradi mbalimbali Iliwemo  jengo la OPD katika zahanati  ya shishani iliyopo kata ya shishani  kwa Tsh mill 250 na  Shule ya sekondari mpya Nyantimba  iliyopo kata ya Buhumbi Tsh 12,500,000 fedha zote hizi ni gawio toka tozo za miamala ya simu toka serikali kuu, lakini pia shule mpya  ya seondari Nkunguru  iliyopo kata ya Nkunguru Tsh mill 50. Miradi hiyo yote  ipo katika hatua mbali mbali za  ukamilishaji.

 Aidha bwa mpandalume   pamoja na kupongeza kamati za ujenzi katika maeneo hayo amesisitiza ukamilishaji wa miradi hiyo ufanyike kwa haraka ili ianze kutumika kwa haraka iwezekanavyo.

Katika ziara hiyo kamati hiyo pia imetembelea kituo cha makumbusho  ya kihistoria kilichopo Kijiji cha kageye kata ya Lutale katika eneo hilo kamati ilipendekeza kuboreshwa kwa miundo mbinu yake ili kitumike kama chanzo cha mapato na ajira kwa Halmashauri

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUKUSANYA MAPATO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU OKTOBA HADI DESEMBA 2021-2022 September 13, 2021
  • Fomu za Maelekezo ya kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 katika Shule za Sekondari Magu (JOINING INSTRUCTIONS) December 29, 2020
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika shule za sekondari mwaka 2020 Magu DC December 12, 2019
  • Usafi wa Mazingira. February 16, 2017
  • Angalia zote

Habari mpya

  • UZINDUZI WA MSIMU WA UNUNUZI WA ZAO LA PAMBA KITAIFA

    May 19, 2022
  • UZINDUZI WA MSIMU WA UNUNUZI WA ZAO LA PAMBA KITAIFA

    May 19, 2022
  • UZINDUZI WA MSIMU WA UNUNUZI WA ZAO LA PAMBA KITAIFA

    May 19, 2022
  • UZINDUZI WA MSIMU WA UNUNUZI WA ZAO LA PAMBA KITAIFA

    May 19, 2022
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa