• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI Y SHILINGI BILIONI 73.25

Posted on: January 29th, 2026

Baraza la madiwani halmashauri ya Wilaya ya Magu limepitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ambapo halmashauri iliomba kuidhinishiwa jumla ya shilingi Bilioni 73.25 ( Tsh. 73,252,591,128.67) kutoka vyanzo vyake mbalimbali na kutoka ruzuku ya serikali kuu.

Baraza hilo limepitisha mapendekezo ya rasimu hiyo katika kikao maalum cha baraza la madiwani kwaajili ya kupitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kilichofanyika leo Alhamisi Januari 29/2026 katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri.

Akiwasilisha mapendekezo ya rasimu hiyo kwa niaba ya mkurugenzi afisa mipango wa halmashauri ya wilaya ya Magu Mophen Mwakajongaamesema bajeti kuu ya halmashauri kwa mwaka wa fedha 2026/2027 imeongezeka kutoka Bilioni 66.92 hadi Bilioni 73.25 sawa na ongezeko la asilimia 9.4 ukilinganisha na bajeti inayoendelea ya mwaka wa fedha 2024-2025.

Ameongeza kuwa makisio ya mapato ya ndani kwa mwaka 2026/2027 yameongezeka kutoa shilingi bilioni 6.62 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 hadi bilioni 6.85 sawa na ongezeko la asilimia 3.6.

Akizungumza baada ya kupitisha rasimu hiyo mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Magu Mh. Edward Kihamba amesisitiza umuhimu wa halmashauri kuongeza makusanyo ya mapato ya ndani na kuweka mikakati Madhubuti na kubuni vyanzo vipya vya mapato.

Amesema hatua hiyo ni muhimu katika kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi na itasaidia kuboresha huduma za jamii na kiuchumi ikiwemo elimu, afya, miundimbinu na usafi wa mazingira.

Aidha, Mwenyekiti huyo amewataka Madiwani kusimamia kwa karibu utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao na kuhakikisha miradi yote iliyopangwa inakamilika kwa wakati na kwa viwango vilivyokusudiwa, ili wananchi wanufaike na fedha zinazotolewa.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Mohamed Ramadhani amesisitiza kuwa halmashauri hiyo itazidi kuongeza ufanisi wa matumizi ya mifumo ili kuongeza ukusanyaji wa mapato.

Amesema mifumo hiyo ni pamoja na  GoT-HOMIS -ni mfumo wa kilectroniki ulianzishwa kwaajili ya usimamizi na uendeshaji wa vituo vya kutole huduma za Afya.

Amesema ili kuboresha utendaji kazi miongoni mwa watumishi, kuanzia juzi tayari halmashauri imeanza kutumia mfumo wa matumizi ya mfumo wa ofisi mtandao (e- office) utasaidia kupunguza gharama za kiundeshaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MADIWANI MAGU WAPIGWA MSASA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 29, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI Y SHILINGI BILIONI 73.25

    January 29, 2026
  • MAGU YANNZA UTEKELEZAJI BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 26, 2026
  • WAKAZI 32,000 KUFAIDIKA MABORESHO HUDUMA ZA AFYA MAGU

    January 21, 2026
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa