• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

WAKAZI 32,000 KUFAIDIKA MABORESHO HUDUMA ZA AFYA MAGU

Posted on: January 21st, 2026

ZAIDI ya wakazi 32,000 wa kata za Lutale na Nyanguge wilayani Magu wanatarajiwa kufaidika na mradi wa ujenzi wa wodi ya wazazi pamoja na jengo la upasuaji, miradi inayotajwa kusaidia kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi wilayani humo.

Miradi hiyo yenye thamani ya Sh milioni 500 inatekelezwa katika Zahanati ya Lutale pamoja na Kituo cha Afya Nyanguge.

Hayo yamebainishwa jana Jumanne katika ziara ya Kamati Fedha, Uongozi na Mipango iliyoongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu, Edward Kihamba kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.

 

Akiwasilisha tarifa ya utekelezaji wa mradi wa wodi ya wazazi na jengo la upasuaji katika zahanati ya Lutale kwa wajumbe wa kamati hiyo, Mganga Mfawidhi wa Kituo, Christopher Mhando amesema mradi huo uliotengewa kiasi cha Sh milioni 250, hadi sasa umefikia asilimia 60 na unatarajiwa kukamilika Machi mwaka huu.

“Mradi utakapokamilika unatarajiwa kutoa huduma kwa wakazi wapatao 16,511 wa kata ya Lutale pia wakazi wa kata jirani za Kongolo na Bujashi.

Kwa upande wa Kituo cha afya Nyanguge, wajumbe walielezwa kuwa utekelezaji wa mradi umefikia asilimia 80 na hadi sasa umetumia kiasi cha Sh milioni 200 kati ya milioni 250 zilizotengwa.

Wajumbe wa kamati hiyo, walieleza kuridhishwa na utekelezwaji wa miradi hiyo ambayo pamoja na mambo mengine, itapunguza adha ya gharama na kutembea umbali mrefu kufuata huduma.

Mbali na miradi hiyo, wajumbe hao pia walikagua miradi ya ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa na matundu 12 ya vyoo katika shule ya msingi Muungano iliyopo kata ya Kisesa, ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya msingi Itandula kata ya Lutale, ujenzi wa shule mpya ya msingi eneo la Bugumangala kata ya Nyanguge.

Pia walikagua mradi wa ujenzi wa stendi mpya ya Ilungu iliyopo kata ya Nyigogo ambao pamoja na mambo mengine wajumbe hao wakisisitiza kasi ya utekelezaji wa miradi hiyo ili wananchi wapate huduma kwa urahisi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WAKAZI 32,000 KUFAIDIKA MABORESHO HUDUMA ZA AFYA MAGU

    January 21, 2026
  • DC LAWUO AWAPA POLE FAMILIA ILIYOPOTEZA 3 KWA AJALI YA MOTO MAGU

    January 16, 2026
  • BARAZA LA WAFANYAKAZI MAGU LAPATA MAKATIBU WAPYA

    January 14, 2026
  • WFANYABIASHARA WA MASOKO MAGU WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA KWA KUFANYA USAFI

    December 19, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa