• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

MADIWANI MAGU WAPIGWA MSASA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

Posted on: January 29th, 2026

Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Magu wamepatiwa mafunzo maalum kuhusu utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote, kufuatia serikali kutangaza rasmi kuanza kwa utekelezaji wa sheria hiyo nchini Januari 26, 2026.

Mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo madiwani ili waweze kuelewa majukumu yao katika kusimamia na kuhamasisha utekelezaji wa bima hiyo katika maeneo yao.

Mafunzo hayo yametolewa na Afisa Wanachama wa NHIF Mwanza Mbwalila Ng’amilo wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani kilichokutana kujadili rasimu ya bajeti ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2026/2027.

Katika maelezo yake, Ng’amilo alieleza kuwa Bima ya Afya kwa Wote inalenga kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma bora za afya bila vikwazo vya kifedha.

Aidha, madiwani walisisitizwa kuwa mabalozi muhimu wa utoaji elimu kwa wananchi katika kata zao, kwa kuwahamasisha kujiunga na bima ya afya ili kuongeza uelewa na ushiriki wa wananchi katika mpango huo wa kitaifa. Walihimizwa kutumia mikutano ya hadhara na majukwaa mbalimbali kuwafikia wananchi wengi zaidi.

Kwa upande wao, madiwani walieleza utayari wao wa kushirikiana na wataalamu wa afya na viongozi wa mitaa kuhakikisha utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote unafanikiwa, huku wakiahidi kusimamia kikamilifu zoezi hilo kwa manufaa ya wananchi na maendeleo ya sekta ya afya.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MADIWANI MAGU WAPIGWA MSASA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 29, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI Y SHILINGI BILIONI 73.25

    January 29, 2026
  • MAGU YANNZA UTEKELEZAJI BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 26, 2026
  • WAKAZI 32,000 KUFAIDIKA MABORESHO HUDUMA ZA AFYA MAGU

    January 21, 2026
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa