• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

WILAYA YA MAGU YAPONGEZWA UJENZI WA NYUMBA BORA

Posted on: September 16th, 2023

Naibu Waziri wa maendeleo ya jamii, Jinsia, Wanawake na makundi maalum Mh. Mwanaidi Ali Khamis amevipongeza vikundi vya michezo vya Simba na Yanga katika kijiji cha Nyang'anga kata ya Sukuma wilayani Magu kwa kushirikiana katika amsha ari ya ujenzi wa nyumba bora za makazi zinazojengwa na wananchi kupitia mfumo wa kijamii wa kushirikiana katika kazi.


Naibu Waziri Mwanaidi ameyasema hayo wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Nyang'hanga kata ya Sukuma wilayani Magu katika mkutano wa hadhara ambapo alikagua na kushiriki katika amsha ari ya nyumba za wanachi zinazojengwa kwa mfumo wa kijamii wa kushirikiana katika kazi .

Akizungumza na wananchi hao Naibu Waziri Mwanaidi amesema Wizara inafanya Kampeni ya Makazi Bora katika Mikoa mbalimbali kwa kushirikiana na Mikoa na Halmashauri ambapo kuanzia Julai 2022 hadi Aprili 2023 jumla ya nyongeza ya nyumba 732 zilijengwa kwa hamasa ya Kampeni hiyo na kufikisha jumla ya nyumba 5712.


" Ushabiki wa mpira sio michezo tu nimehamasika sana na wakazi wa kijiji hiki kwa kushirikiana katika kuaamsha ari na kushiriki katika ujenzi wa nyumba bora nawapongeza sana kwa mbinu hizi naomba muendelee na umoja huu" amesema Waziri Mwanaidi.


Aidha Naibu Waziri Mwanaidi amewataka Maafisa Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Jamii kuwasikiliza wananchi katika maeneo yao ili kuwasaidia kutatua changamoto mbalimbali wanazokabilia nazo katika jamii ili kuendeleza juhudi za serikali kuwainua wananchi kiuchumi.


" Endeleeni kufanya kazi ya kuwatembelea wananchi vijijini na kutoa elimu kwani mmeajiriwa kwaaji ya kufanya kazi hiyo sio tu kukaa ofisini , tunataka kuona maafisa maendeleo ya jamii wanafanya kazi zao za kuhamasisha wananchi kwa kuwapa yanayohusika na maendeleo ya jamii zao.


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Magu Rachel Kasanda amesema kuwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali yameshirikiana na Serikali kufanya kazi kubwa ya kuingia kwenye Jamii kwa kutoa elimu katika kuonana changamoto mbalimbali ikiwemo kupinga ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto na kuboresha makazi katika maeneo yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WADAU WA SANAA MAGU WATAKIWA KUJISAJILI BASATA

    May 07, 2025
  • INEC YARIDHISHWA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA MAGU

    May 03, 2025
  • DC Magu:Wazazi pelekeni watoto wapate chanjo ya polio

    April 30, 2025
  • WAANDISHI, WAENDESHA BVR 136 WALA KIAPO MAGU

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa