• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Waziri Mkuu aweka Jiwe la Msingi katika Kiwanda cha Lakairo na Mradi wa Ujenzi na Ukarabati wa Kituo Cha Afya Kahangara

Posted on: February 18th, 2018

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa amefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya magu tarehe 17.02.2018 ambapo ameweka jiwe la msingi katika kiwanda cha LAKAIRO Kilichopo katika kijiji cha Isangijo. Amepongeza juhudi zinazoonyeshwa na watanzania katika kuanzisha viwanda na kuendana na sera ya “Tanzania ya viwanda” amesisitiza watanzania waendelee kuwekeza katika viwanda kwa ajili ya kuongeza uzalishaji wa mali ghafi na kukuza uchumi wa nchi na mtu mmoja mmoja kwani kwa kufanya hivyo watu wenye taaluma mbalimbali watapata ajira katika viwanda hivyo.

Akiwa katika kijiji hicho cha Isangijo amesikiliza kero mbalimbali kutoka kwa wananchi zinazohusu elimu, Afya, maji na miundombinu ya Barabara. Kuhusiana na kero hizo ametoa maagizo kwa viongozi husika ili zitatuliwe.

Aidha ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi na ukarabati wa majengo ya kituo cha afya kahangara. Amepongeza uongozi wa Halmashauri kusimamia ujenzi wa majengo yote ya kituo cha afya  Kahangara hadi kukamilika kwani ujenzi huo ni mfano wa kuigwa hapa nchini. Amesisitiza Halmashauri ijipange kuhamasisha wananchi ili waanzishe ujenzi wa zahanati katika vijiji ambavyo havina zahanati ili kuboreha huduma za afya katika maeneo yote.

Ameeleza kuwa, Serikali imeleta fedha Tshs 500,000,000/= kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya Lugeye, amesema fedha hizo zisimamiwe vizuri zitumike kujenga Maabara, chumba cha upasuaji, wodi ya akina mama, kununua vitanda vya wodi ya akinamama. Pia amezungumza na watumishi ambapo, amesisitiza watumishi wa Umma kuhudumia wananchi na kutatua kero zao kwa wakati.

Amehakikishia watumishi kuwa maslahi yao yanaendelea kufanyiwa kazi na serikali hivyo haina budi watumishi hao kufanya kazi kwa bidii na kuhudumia wananchi kwani serikali inatambua umuhimu wao. Amepata fursa ya kutembelea shamba la mfano la kilimo cha pamba katika kata ya Buhumbi Wilayani Magu ambapo amepongeza juhudi zinazoonyeshwa na wananchi katika kilimo cha pamba.

Shamba la Mfano la  kilimo cha Pamba kata ya Buhumbi (chanzo: ziara ya waziri Mkuu)

Kiwanda Cha LAKAIRO kilichopo kijiji cha Isangijo (chanzo: Ziara ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu akikagua Kituo cha Afya Kahangara (Chanzo: Ziara ya Waziri Mkuu)


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • DC NASSARI AONGOZA KIKAO MAANDALIZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU MAGU

    May 21, 2025
  • KILIO CHA MAJI MWAMABANZA KUISHA JUNI 2025

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa