• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WATAKIWA KUSIMAMIA ULINZI NA USALAMA KWENYE MAENEO YAO

Posted on: April 4th, 2024


Watendaji wa Kata na Vijiji Halmashauri ya Wilaya ya Magu wametakiwa kusimamia ulinzi na usalama kwenye  maeneo yao kwa kuwashirikisha wananchi kikamilifu ili kusaidia kupata taarifa na kuripoti kwenye vyombo vya ulinzi na usalama. 


Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu Mohamed Ramadhani wakati wa kikao kazi kilichohusisha watendaji wa kata na vijiji wa Halmashauri hiyo kilicholenga kuwakumbusha majukumu yao ikiwemo ulinzi na usalama, usimamizi wa miradi ya maendeleo, usafi pamoja na masuala mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao.

Akizungumza wakati wa kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu amesema Watendaji wanatakiwa kua viunganishi kati ya Wananchi na Serikali katika suala la ulinzi na usalama kwani hali ya ulinzi ya Wilaya inategemea na hali ya usalama kuanzia ngazi za chini hivyo ni vyema wakasimamia vizuri suala hilo ili kuzuia vitendo vya kihalifu.

Aidha Mkurugenzi Mohamed  amewahimiza watendaji hao kua na mikakati wa kutoa elimu ya lishe katika Mitaa wanayoyaisimamia ili kupunguza tatizo la udumavu. 


Vilevile amewasisitiza Watendaji wa kata na vijiji kuhakikisha wanasimamia ukusanyaji wa mapato kwa uaminifu kwani Halmashauri inategemea makusanyo ya ndani katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo hivyo watendaji hao wanapaswa kua waadilifu katika suala la ukusanyaji wa mapato.


Kwa upande wake Afisa Elimu sekondari Wilaya ya Magu Beatrice Balige amewataka watendaji wa Kata na Vijiji kutokomeza suala la utoro wa wanafunzi katika maeneo yao kwa kushirikiana na wazazi na walimu ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NYASHIMBA WAISHUKURU HALMASHAURI MAGU UJENZI WA ZAHANATI, SHULE

    June 13, 2025
  • MAGU YATENGENEZA MADAWATI 1300 KWA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI

    June 12, 2025
  • MILIONI 250 ZA MFUKO WA JIMBO ZAACHA ALAMA MAGU

    June 09, 2025
  • WAKULIMA MAGU WAMPA TANO KISWAGA KUCHOCHEA KILIMO CHA UMWAGILIAJI

    June 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa