• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

WASIMAMIZI WA UCHAGUZU MAGUU WAASWA KUZINGATIA MAADILI

Posted on: October 26th, 2025

ZIKIWA zimesalia siku mbili kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu, zaidi ya wasimamizi wa vituo na wasimamizi wasaidizi wa vituo zaidi ya 2000 wameapishwa pamoja na kupatiwa mafunzo maalumu yanayolenga kuwawawezesha kusimamia uchaguzi huo mkuu.

Wasimamizi hao wameapishwa leo Jumapili tarehe 26 Oktoba, 2025 katika vituo vya Mugini - Magu mjini na Chuo cha Mipango - Kisesa ikiwa ni maandalizi kusimamia uchaguzi huo.

Aidha, akifungua mafunzo hayo mara baada ya kiapo cha utii, Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Magu, Mohamed Kyande amewataka washiriki wa mafunzo  hayo kuhakikisha wanazingatia sheria, kanuni na miongozo inayotolewa na tume huru ya taifa ya uchaguzi.

"Jambo kubwa ambalo ninawasisitiza washiriki wa mafunzo haya ni kuzingatia sheria taratibu kanuni na miongozo ili uchaguzi uweze kufanyika kwa amani na utulivu", amesema.

Aidha, amewataka wasimamizi hao kujiepusha na kuwa vyanzo vya malalamiko au vurugu wakati wa mchakato wa uchaguzi, kufanya kazi kwa ushirikiano, kufika mapema kabla ya muda wa kufungua kituo kwa ajili ya maandalizi.

Pia amewataka kujiepusha na matumizi ya mitandao ya kijamii, kuwa nadhifu na kutumia lugha nzuri pamoja na kutoa kipaumbele kwa wapiga kura wenye mahitaji maalum pindi watakapofika kituoni.

Kwa upande wao baadhi ya washiriki wa mafunzo haya wamesema  kuwa wanatarajia mafunzo hayo ya siku mbili watakayopatiwa yatawasaidia kutekeleza jukumu lililopo mbele kwa ufanisi mkubwa.

Wamesema mafunzo hayo yatawasaidia kusimamia uchaguzi mkuu kwa huru na haki, kwa mujibu wa sheria sambamba na kuwa wazalendo huku wakiahidi kuviishi viapo vyao.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZU MAGUU WAASWA KUZINGATIA MAADILI

    October 26, 2025
  • MAKARANI 600 WAAPISHWA MAGU, WAPEWA ELIMU YA UCHAGUZU

    October 25, 2025
  • WAZIRI DK. TAX ATIMIZA AHADI YAKE KWA KUKABIDHI NYAMBITILWA MAGU MADAWATI 80

    October 24, 2025
  • WAZIRI DK. TAX ATIMIZA AHADI YAKE KWA KUKABIDHI NYAMBITILWA MAGU MADAWATI 80

    October 24, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa