• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA MAGU WAASWA KUSIMAMIA KIAPO

Posted on: August 6th, 2025

WASIMAMIZI Wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata katika Halmashauri ya wilaya ya Magu wametakiwa kusimamia viapo walivyokula kwa kutunza siri pamoja na kuzingatia uweledi kwa kipindi chote cha uchaguzi mkuu.

Pia wametakiwa kusimamia rasilimali vifaa watakavyopewa katika kutekeleza kazi za uchaguzi pamoja na kutoa taarifa kwa msimamizi wa uchaguzi haraka iwapo vifaa hivyo vina kasoro.

Wito huo umetolewa leo tarehe 6 Agosti, 2025 na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Magu, Mohamed Kyande wakati akifunga mafunzo ya siku tatu yaliyotolewa kwa wasimamizi hao 50 wa kata 25 za Halmashauri ya wilaya ya Magu.

“Kabla ya kuanza mafunzo haya mlikula kiapo cha kutunza siri. Kiapo kipo kwa mujibu wa kanuni namba nane ya uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani za mwaka 2025.  Kwa hiyo ukianza kutoa taarifa za siri ambazo tume haikukupa kutoa utakuwa unatenda kosa chini ya sheria na utawajibika kwa kosa hilo.

“Sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi kama nilivyoeleza sisi ni sehemu ya tume huru ya uchaguzi, usitumie ushabiki kutoa siri, tuwe makini na matumizi ya simu na mitandao, tuishi na viapo hivi hasa katika utunzaji wa siri na uwajibikaji,” amesema Kyande.

Awali akitoa shukrani kwa mafunzo hayo kwa niaba ya washiriki wenzake, Jackson Kadutu amesema mafunzo hayo yaliyokuwa na mada 11 yamewasaidia pia kujua maadili kuhusu uchaguzi na muda wa kampeni kuwa utaanza tarehe 28 Agosti hadi 28 Oktoba - kuanza saa mbili asubuhi hadi saa 12 jioni.

“Pia tumefahamu kuna saa za matangazo ya kampeni ambayo mwisho ni saa mbili usiku, tumefahamu taratibu hizi vizuri tunawashukuru sana wawezeshaji wetu,”  amesema.

Naye Afisa Uchaguzi Jimbo la Magu, Masunga Mwagala aliwaasa washiriki hao kutekeleza majukumu yao kwa uweledi na kuweka kando itikadi za kisiasa katika maeneo yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA MAGU WAASWA KUSIMAMIA KIAPO

    August 06, 2025
  • WASIMAMIZI 50 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA MAGU WAPEWA MAFUNZO

    August 04, 2025
  • WASIMAMIZI 50 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA MAGU WAAPISHWA

    August 04, 2025
  • DC LAWUO ATEMBELEA BANDA LA MAGU MAONESHO YA NANENANE,2025

    August 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa