• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

WASIMAMIZI 50 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA MAGU WAPEWA MAFUNZO

Posted on: August 4th, 2025

WAKATI maandalizi ya uchaguzi mkuu mwaka 2025 yakiendelea kupamba moto, jumla ya wasimamizi 50 wa uchaguzi ngazi ya kata katika Halmashauri ya wilaya ya Magu wametakiwa kuzingatia katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, sheria na miongozo ya Tume ya Huru ya Uchaguzi ili kutekeleza majukumu yao kwa uweledi.

 

Maagizo hayo yametolewa leo tarehe 4 Agosti, 2025 na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Magu, Mohamed Kyande wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi hao wa kata 25 yanayofanyika Magu Mjini mkoani Mwanza.

“Masharti ya Ibara ya 74(vi) ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, INEC ndio inajukumu la kusimamia na kuratibu uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani Tanzania bara.  Kwa hiyo ninyi mmeteuliwa kwa mujibu wa sheria na uteuzi wenu unawakilisha uwepo wa INEC katika maeneo yenu ya uteuzi.

“Hivyo mnatakiwa kuzingatia taratibu na miongozi inayotolewa mara kwa mara na tume. Lakini pia katika mafunzo haya kutakuwa na mada 11, tunawasisitiza msome kwa makini ili muweze kutekeleza majukumu haya kwa ufanisi,” amesema.

Aidha, Msimamizi msaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo Magu, Hilda Mwangamila akizungumza kwa niaba ya wasimamizi hao, ameahidi kuzingatia miongozo hiyo huku akiwakumbusha wenzie kufuatilia mafunzo hayo kwa umakini.

Naye Afisa Uchaguzi Jimbo la Magu, Masunga Mwagala akiwasilisha mada kuhusu Wajibu, majukumu na mambo muhimu ya kuzingatiwa na waratibu na wasimamizi wa uchaguzi, amewaasa kuepuka makosa ambayo baadhi ya watendaji wa uchaguzi wamekuwa wakiyarudia wakati wa uchaguzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA MAGU WAASWA KUSIMAMIA KIAPO

    August 06, 2025
  • WASIMAMIZI 50 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA MAGU WAPEWA MAFUNZO

    August 04, 2025
  • WASIMAMIZI 50 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA MAGU WAAPISHWA

    August 04, 2025
  • DC LAWUO ATEMBELEA BANDA LA MAGU MAONESHO YA NANENANE,2025

    August 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa