• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

UZINDUZI WA JUKWAA LA UWEZESHAJI WA WANAWAKE KIUCHUMI TARAFA YA ITUMBILI

Posted on: November 24th, 2023

Halmashauri ya wilaya ya Magu itaendelea kulinda na kutetea haki za wanawake pamoja kuelimisha jamii kuwajibika ipaswavyo katika kuwasaidia na kuwahudumia waathirika wa ukatili.


Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Magu Jubilate win Lawuo wakati akizundua jukwaa la uwezeshaji wa wanawake kiuchumi tarafa ya itumbili katika ukumbi wa CCM Wilaya ya Magu uliopo kata ya Magu Mjini.

Akizungumza wakati akizindua jukwaa hilo Katibu Tawala Lawuo amesema kuwa Msingi wa Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi ni kutekeleza Ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 – 2025 ya Chama Cha Mapinduzi inayoelekeza kuwainua Wanawake Kiuchumi kwa kuwapatia fursa mbalimbali kwa kuwaunganisha wanawake kwenye mafunzo, kuwaunganisha wanawake na fursa za kilimo, kuwaunganisha wanawake na mikopo yenye masharti nafuu.


"Jamii yetu lazima itambue kuwa Wilaya yetu ya Magu inatekeleza na inamuunga mkono Mh. Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fursa mbalimbali zinazopatikana nje na ndani ya Wilaya ya Magu" amesema .

Aidha Katibu Tawala huyo amewaomba wananchi wote wa Wilaya ya Magu kuanzia ngazi ya vitongoji, vijiji, kata, viongozi wa madhehebu ya dini, viongozi wa vyama vya siasa na kila mtu kwa nafasi yake kuendelea kulaani na kukumea kwa nguvu zetu zote vitendo vyote vya ukatili vinavyotokea katika maeneo yote ya Wilaya.


"Hakika tunahakikisha Magu yetu itamkomboa mwanamke kwa kuongeza wigo mpana kwa kuwaunganisha wanawake na wadau, pia Halmashauri kuweza kuwapatia mikopo yenye masharti nafuu baada ya dirisha la utoaji mikopo kufunguliwa" ameongeza

Katika hatua nyingine Katibu Tawala Lawuo amesema Serikali itahakikisha kunakuwa na Miundombinu wezeshi kwa wanawake na wanajamii wote ikiwa ni pamoja na kuwa na miradi mikubwa ya kilimo cha umwagiliaji ambayo itaongeza uzalishaji wa zao la Mpunga na pia kuongeza ajira kwa vijana.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • DC NASSARI AONGOZA KIKAO MAANDALIZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU MAGU

    May 21, 2025
  • KILIO CHA MAJI MWAMABANZA KUISHA JUNI 2025

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa