• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

USHIRIKIANO WAHIMIZWA KUFIKIA LENGO LA KUKUSANYA BILIONI 4.5 MWAKA WA FEDHA 2023-2024

Posted on: November 8th, 2023

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu Mh. Simon Mpandalume amewataka watumishi wa Halmashauri hiyo kuendelea kua na ushirikiano, umoja, uadilifu na weledi ili kufikia lengo la kukusanya Bilioni 4.5 za mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2023-2023 .


Mh Mpandalume ameyasema hayo wakati wa mkutano wa baraza la madiwani kwaajili ya kupitia taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba, 2023-2024 uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa CCM Wilaya ya Magu Leo Jumatano Novemba 08, 2023.


Akizungumza wakati wa mkutano huo Mh. Mpandalume amesema kuwa bajeti hiyo ni kubwa na ili kufikia lengo ni muhimu watumishi kwa kushirikiana na viongozi kuanzia kazi ya chini kufanya kazi kwa ushirikiano na kusimamia ukusanyaji wa mapato.


" Tunahitaji weledi na uwajibikaji wetu sote baraza la madiwani, watendaji wetu kuanzia ngazi za chini kwenye vijiji hadi Wilaya ili tufikie malengo ya kukusanya mapato haya" amesema


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu Bi Fidelica G. Myovella amewataka wananchi wa Wilaya hiyo kuchukua tahadhari dhidi ya mvua kubwa ( El-Nino) zilizotabiriwa  kunyesha kuanzia mwezi Oktoba 2023 baada ya Mamlaka ya Hali ya Hewa kutoa utabiri wa mwelekeo wa mvua za vuli ambao umetabiri uwepo wa El- Nino .

Myovella amesema Wananchi wanaokaa maeneo ya bondeni ni vyema wakaendelea kutengeneza mazingira ya kuchukua tahadhari mapema ikiwemo kuhama katika maeneo hayo ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza ikiwemo vifo na uharibifu wa mali.


" Wazazi hakikisheni watoto hawachezi kwenye madimbwi na maeneo ya kingo za mito ili kuepukana na madhara yanayoweza kujitokeza " amesema

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WADAU WA SANAA MAGU WATAKIWA KUJISAJILI BASATA

    May 07, 2025
  • INEC YARIDHISHWA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA MAGU

    May 03, 2025
  • DC Magu:Wazazi pelekeni watoto wapate chanjo ya polio

    April 30, 2025
  • WAANDISHI, WAENDESHA BVR 136 WALA KIAPO MAGU

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa