• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Mwenge wa Uhuru wazindua Shule ya Msingi Igudija yenye thamani ya Sh milioni 540

Posted on: October 12th, 2024

MWENGE wa Uhuru leo Jumamosi umezindua mradi wa ujenzi wa shule mpya ya msingi Igudija uliogharimu kiasi cha Sh milioni 540.3 fedha kutoka Serikali Kuu kupitia Programu ya BOOST.

Mradi huo unajumuisha ujenzi wa vyumba vya madarasa 16, matundu ya vyoo 24, jengo la utawala moja utengenezaji wa madawati 210 ya elimu msingi, meza 30 za elimu ya Awali pamoja na viti vyake 30, viti vya walimu 14 na meza 17.

Mradi huo uliotekelezwa kwa kutumia utaratibu wa ‘‘Force Account’’ na kukamilika kwa asilimia 100 na unaendelea kutoa huduma, umezinduliwa na Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa, Godfrey Mzava mbele ya mkuu wa wilaya ya Magu, Joshua Nassari na viongozi wengine wa halamshauri waliohudhuria mbio hizo za mwenge.

Awali Mkuu wa Shule hiyo Mwalimu Benifaxad Chiguru amesema kukamilika kwa mradi huo kumesaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi katika shule za Kisesa, Muungano, Wita, Igekemaja na Kitumba.

Aidha, mmoja wananachi wenye Watoto wanaosoma katika shule hiyo, Prisca Revocatus ameishukuru Serikali kwa ujenzi wa shule hiyo ambayo imekuja kuondoa changamoto ya watoto kutembea umbali mrefu kwenda shule ya msingi Kisesa na kuwaepusha na ajali zilizosababishwa na kuvuka barabara.

Naye Mwenyekit kamati ya shule, Abel Elikana amesema ujio wa shule hiyo mpya kutapunguza pia ajali za barabarani kwani watoto kwa sasa hawavuki barabara kuelekea upande wa pili kufuata huduma ya elimu huku na miti 800 ikiwa imepandwa kuzunguka eneo la shule ili kuhakikisha mazingira yanatunzwa.

Awali kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Godfrey Mzava amesema Rais Samia Suluhu Hassan anawapenda wananchi wake na anaendelelea kuamini kuwa urithi wa mtoto ni elimu ndio maana akaridhia kutolewa kwa fedha hizo kwa kuwajengea shule mpya ya awali na msingi kwenye kijiji cha Idugija badala ya kuchangisha wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WADAU WA SANAA MAGU WATAKIWA KUJISAJILI BASATA

    May 07, 2025
  • INEC YARIDHISHWA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA MAGU

    May 03, 2025
  • DC Magu:Wazazi pelekeni watoto wapate chanjo ya polio

    April 30, 2025
  • WAANDISHI, WAENDESHA BVR 136 WALA KIAPO MAGU

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa