• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

MTHIBITI UBORA MAGU AWATAKA WAZAZI KUFUATILIA MAENDELEO YA WATOTO, AONYA SHULE BUBU

Posted on: March 7th, 2025

MTHIBITI Ubora Mkuu wa Wilaya ya Magu, Hilda Mushi amewataka wazazi wajitokeze kufuatilia maendeleo ya watoto wao shuleni pamoja na kuchangia shughuli mbalimbali za maendeleo ya shule ikiwamo michango ya chakula kwa ajili ya watoto wao pindi wawapo shuleni.

Pia amewataka wamiliki wa shule zote katika wilaya hiyo kuhakikisha wamesajili shule zao ili wasikumbane na mkono wa sheria pindi wanapoendelea kutoa huduma hiyo.

Wito huo umetolewa leo tarehe 7 Machi, 2025 na Mthibiti huyo mkuu wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu majukumu ya ofisi hiyo.

 

“Ninawaomba wazazi wajitoe kushirikiana na walimu kusimamia masuala mbalimbali ya watoto wao ikiwamo kufuatilia maendeleo ya watoto wao shuleni, pia wajitokeze kuchangia shughuli mbalimbali za maendeleo ya shule kwa mfano suala la chakula.

 

“Wazazi ni wagumu kuchangia ila ukweli ni kwamba huwezi kumfundisha mtoto mwenye njaa,” amesema.

Akizungumzia adhabu zinazotolewa na walimu kwa wanafunzi, Mushi amesema ofisi yake imekuwa ikitoa elimu kwa walimu mara kwa mara kwamba elimu haitolewi kwa adhabu.

“Cha msingi ni kuzungumza na mtoto, lakini mtoto analelewa na pande zote kati ya mwalimu, mzazi na jamii husika hivyo ili kufuatilia nidhamu pia ya wanafunzi tunaomba wazazi watoe ushirikiano.

Aidha, akifafanua kuhusu mitaala iliyoboreshwa mwaka 2022/2023, Mthibiti ubora wa wilaya hiyo, Said Habibu amesema tayari serikali imejipanga kuendana na maboresho hayo ikiwamo kuandaa walimu pamoja na shule zenye nyenzo za kutosha kuwaandaa wanafunzi hao.

“Maboresho yanalenga kuwa na wahitimu wenye maarifa na ujuzi na kushinda katika soko la ajira duniani,” amesema.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WADAU WA SANAA MAGU WATAKIWA KUJISAJILI BASATA

    May 07, 2025
  • INEC YARIDHISHWA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA MAGU

    May 03, 2025
  • DC Magu:Wazazi pelekeni watoto wapate chanjo ya polio

    April 30, 2025
  • WAANDISHI, WAENDESHA BVR 136 WALA KIAPO MAGU

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa