• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

MRADI WA MAJI BOMBA CHABULA- BUGANDO KUNUFAISHA VIJIJI VINNE WILAYANI MAGU

Posted on: August 21st, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Magu Rachel Kassanda anaendelea na ziara ya kukagua shughuli mbalimbali za miradi ya maendeleo Wilayani humo Leo ametembelea mradi wa maji majibomba Chabula-  Bugando unaotekelezwa na Wakala wa Maji na  Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA kwaajili ya kujionea maendeleo ya mradi huo unaotarajia kuondoa changamoto ya maji katika vijiji vinne .


Mradi huo ambao chanzo chake cha maji  ni Ziwa Victoria ulianza kujengwa mwaka 2019 na unatekelezwa na  MWAUWASA  na unahudumia vijijini Vinne ambavyo ni Chabula, Bugando, Nyashigwe na Kongolo ambapo jumla ya Wananchi wapatao 21,400 watahudumiwa na mradi huu.

Akisoma taarifa ya mradi mbele ya Mkuu wa Wilaya Kaimu Meneja wa RUWASA Wilaya ya Magu Mhandisi Daud F. Amlima amesema kuwa mradi huu umetekelezwa kwa ushirikiano kati ya wataalamu wa MWAUWASA na wataalamu wa RUWASA Wilayani Magu.


Kuhusu Gharama za mradi mhandisi Amlima amesema mradi umetekelezwa kwa Tsh. 1,786, 740,139.00 na fedha zilizotumika hadi sasa ni Sh. 1,776,740,139.00 ambapo utekelezaji wa mradi huu ulianza Mwezi April , 2020 na umekamilika Mwezi July 2023.

Akifafanua kuhusu maendeleo ya  mradi huo amesema kwa sasa uko katika hatua za majaribio ili kuona kama vituo vyote 31 vinapata maji pamoja na kuangalia mapungufu ya miundombinu yote iliyojengwa ili kuangalia mapungufu ya miundombinu yote iliyojengwa na kuifanyia marekebisho.


Amesema kuwa baada ya wiki moja wananchi wataanza kutumia maji ingawa wakati huu wa majaribio wananchi wanaendelea kutumia maji.


Katika Ziara hiyo DC Kassanda aliambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Magu Bi. Fidelica G. Myovella , Kamati ya ulinzi na usalama na wakuu wa idara wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MPYA MEI 2023 HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU May 05, 2023
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHA YA MWANZA GIRLS SECONDARY SCHOOL 2023 June 26, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WILAYA YA MAGU YAPONGEZWA UJENZI WA NYUMBA BORA

    September 16, 2023
  • WANANCHI WATAKIWA KUTUNZA NA KULINDA MIRADI YA MAENDELEO

    September 13, 2023
  • BALOZI WA PAMBA ATOA WITO KWA MAAFISA UGANI WILAYA YA MAGU KUINUA ZAO LA PAMBA

    September 11, 2023
  • MAGU KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO

    August 30, 2023
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa