• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Mkurugenzi Mtendaji (W) Akikabidhiwa Baiskeli 5 na Makabati 11 kutoka Shirika la JSI

Posted on: January 26th, 2018

JSI imekabidhi vitendea kazi hivyo ili kuboresha utendaji kazi na ufanisi  wa wasimamizi wa mashauri ya watoto ikiwa ni pamoja na kurahisisha usafiri na hivyo kuwafikia wasimamizi wa mashauri ya watoto (CCW) wengi zaidi na kutunza kumbukumbu za watoto walio katika mazingira hatarishi na waliopata huduma kwa kipindi husika.

JSI kwa kushirikiana na Halmashauri ya wilaya ya Magu Kupitia Mradi wa kubaoresha mifumo ya Afya na ustawi wa Jamii ilifanya mafunzo ya siku 5 mfululizo kwa wasimamizi wa mashauri ya watoto (CCW) katika kata 7 za Halmashauri ya Wilaya ya Magu ili kuchangia kufikia lengo kuu la PEPFAR 3.0 la kufikia 90-90-90 ifikapo mwaka 2020 na lengo la Serikali Ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la Sifuri 3 ifikapo mwaka 2030.

Mwakilishi kutoka JSI ameeleza kwamba, Kupitia ushirikiano uliopo baina ya Halmashauri ya Magu na JSI katika kuboresha mifumo ya Afya na ustawi wa jamii, kutakuwa na mafanikio yafuatayo;-

  • Kupata taarifa za kutosha na sahihi juu wa watoto walio katika mazingira hatarishi.
  • Kupunguza idadi ya watoto waishio katika mazingira hatarishi
  • kuongezeka kwa watoto wanaopata huduma za upimajai wa VVU na kuanza kutumia dawa za ARV.
  • Kuboreka kwa mfumo Jumuishi wa usimamizi wa mashauri ya watoto (NICMS) katika Halmashauri na kuandaa kizazi chenye idadi  kubwa ya watu watakao jihusisha na uzalishaji mali.

Baada ya maelezo hayo ametoa mapendekezo kwa Halmashauri kama kama ifuatavyo;-

  • Amependekeza Halmashauri isaidie kutoa vitendea kazi (Baiskeli na Makabati) kwa kata ambazo hazijapata msaada huu ili kuweka uwiano sawa utakaosaidia kuboresha utendaji kazi.
  • Halmashauri isaidie kutoa vitambulisho vya kazi kwa wasimamizi wa mashauri ya watoto ili waweze kutambuliwa na jamii husika wanapotekeleza majukumu yao.

Mkurugenzi Mtendaji (W) na Mwenyekiti wa Halmashauri  wametoa shukrani  zao dhati kwa shirika la JSI kwa msaada walio utoa kwa lengo la kusaidia kuboresha utendaji kazi wa wasimamizi wa mashauri ya watoto  katika Halmashauri ya magu kwenye kata zilizopewa mafunzo. Aidha wameomba shirika la JSI kuendelea na moyo huo katika utoaji wa huduma kwa wamanchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WAKULIMA MAGU WAMPA TANO KISWAGA KUCHOCHEA KILIMO CHA UMWAGILIAJI

    June 07, 2025
  • KISWAGA AZIPIGA JEKI KATA 12 KWA MIFUKO 1040 YA SARUJI, MADAWATI 130

    June 06, 2025
  • Shule 53 Magu zagawiwa zana za kufundishia wanafunzi wa awali

    June 05, 2025
  • TFS MAGU YAGAWA MICHE 200,000 YA MITI KUUNGA MKONO JITIHADA ZA SAMIA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    June 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa