• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Miradi Yote iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru Magu Yakidhi Vigezo

Posted on: August 29th, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Magu imepokea Mwenge wa Uhuru Tarehe 27.08.2018 katika kijiji cha Mwamabanza. Mwenge huo umefungua na kuzindua miradi  mbalimbali ya maendeleo  yenye thamani ya Shilingi Milioni 979.5 na umekimbizwa umbali wa km 97. Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa ndugu Charles F. Kabeho ameikubali miradi yote na kusema imetekelezwa kwa kiwango kwani thamani ya fedha (Value for Money) imeonekana katika miradi hiyo.

Aidha katika ujumbe wa Mwenge 2018, amesema “Elimu ni ufunguo wa maisha, wekeza sasa kwa maendeleo ya taifa letu”,  Serikali inatoa elimu msingi bila malipo kwa maana ya kuondoa michango yote kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne. “Wazazi wawajibike katika kuwanunulia watoto wao sare za shule na kuchangia maendeleo ya shule kama vile ujenzi wa miundombinu na kuhakikisha kua kunakuwepo na upatikanaji wa chakula shuleni kwa kuzingatia waraka wa elimu Namba 3 wa Mwaka 2016 unaotaka michango yote inayohusu maendeleo ya shule iratibiwe na wananchi/wazazi wenyewe” amesema Kabeho.

“Serikali imedhibiti suala la utoro wa wanafunzi kwani Mkoa wa Mwanza hauna utoro uliokithiri japo kuna utoro wa kiholela hivyo wazazi wasimamie watoto wao kwenda shule. Pia Serikali imegawa vifaa vya maabara katika shule  za sekondari 1625 kwa ajili ya kusaidia wanafunzi kujifunza kwa vitendo ambapo kila shule ya sekondari inatakiwa iwe na maabara zote za Masomo ya Sayansi”, amesema Kabeho.

Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa amewakabidhi hundi za mikopo ya wanawake na zenye Jumla ya shilingi 24,000,000.00 kwa mchanganuo ufuatao, vikundi 12 vya wanawake shilingi 17,000,000.00 na vikundi 5 vya vijana shilingi 7,000,000.00.

Kiongozi huyo amewaomba wananchi washiriki kutokomeza malaria kwa maendeleo ya jamii, kupinga Rushwa, madawa ya kulevya na kupima afya zao kwa hiari. Aidha katika mkesha wa wa mwenge uhuru Kisesa, jumla ya watu 621 wamejitokeza kupima Virusi vya UKIMWI ambapo watu 11 wamegunduliwa kuwa na maabukizi ya VVU sawa na asilimia 1.7 ya waliopima.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • DC NASSARI AONGOZA KIKAO MAANDALIZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU MAGU

    May 21, 2025
  • KILIO CHA MAJI MWAMABANZA KUISHA JUNI 2025

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa