• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Mbunge Awashukuru Wahe. Madiwani, Watendaji wa Vijiji, Kata, Wakuu Wa Idara na Mkurugenzi Mtendaji (W) kwa Ushirikiano Waliouonyesha Katika Kufanikisha Ziara Yake Jimboni Magu

Posted on: November 16th, 2018

Mbunge wa Jimbo Magu Mheshimiwa Destery B. Kiswaga amewashukuru Watendaji wa Serikali ngazi za Vijiji, Kata Wakuu wa Idara na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Magu, kwa ushirikiano mkubwa waliompatia katika ziara yake jimboni magu ambapo alitembelea kijiji kwa kijiji na kufanikiwa kufanya mikutano 85 ya kibunge jimboni humo. Mheshimiwa Kiswaga amefunguka haya akiwa katika Mkutano wa kawaida wa Baraza la Madiwani uliofanyika tarehe 14.11.2018 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu..

Amesema “Mheshimiwa Mwenyekiti nitumie fursa hii ya baraza lako kuwashukuru sana waheshimiwa Madiwani wote, watendaji wa Vijiji, Kata, Wakuu wa idara zote wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg:Lutengano Mwalwiba kwa ushirikiano mkubwa walionipatia katika ziara yangu, kwa kweli haikuwa kazi rahisi kutembea kijiji kwa kijiji na wakati mwingine nilifanya mikutano mitano kwa siku, na Maandalizi yote waliandaa wao na wananchi walijitokeza kwa wingi kuja kunisikiliza mimi Mwakilishi wao, asanteni na naahidi Mkurugenzi kuna haja ya kufanya tathimini ya pamoja, nitaanda hafla fupi itakayoambatana na mrejesho wa ziara jimboni, Pia ahadi zangu tutaanza kupeleka vifaa na fedha kwa ajili ya miradi hivi karibuni baada ya taratibu  kukamilika”.

Mbunge Kiswaga alifanya ziara ya kibunge jimboni kwake ambapo pamoja na mambo mengine alipata fursa ya kusikiliza kero, kutatua kero, kupokea maoni ushauri kutoka wa Wananchi, Ziara hiyo ni utaratibu wa Mbunge aliojiwekea katika kujali wananchi wake kuwa kila Mwaka huwatembelea wananchi, Ziara hiyo ambayo pia ilihamasisha shughuli za mendeleo, kuchangia miradi ya maendeleo jimboni na kuchochea maendeleo kwa ujumla.

Aidha madiwani nao wamemwomba Mheshimiwa Mbunge kuharakisha kupeleka fedha au vifaa ambavyo kupitia ziara yake aliahidi kuchangia kwa ajili ya maendeleo katika kila kijiji. Pia Madiwani nao wamempongeza mbunge kwa utendaji wake na kwamba Wananchi wanapata fursa ya kukutana na Mbunge wao kila mwaka, “Hii imetusaidia hata sisi Madwaini kuwa karibu na Wananchi wetu” amesema Marco Minzi Diwani wa kata ya Bukandwe.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • PPRA YAWAPIGA MSASA WALIMU WAKUU, WATENDAJI KATA MAGU KUHUSU MATUMIZI MFUMO NeST

    May 27, 2025
  • Mchengerwa aagiza maofisa habari kukabidhiwa ofisi

    May 23, 2025
  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa