Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

MAGU YAZINDUA WIKI YA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA, JAMII YASHAURIWA KUISHI MTINDO BORA WA MAISHA

Posted on: November 6th, 2023

Wananchiu wa Wilaya ya Magu wameshauriwa kuishi mtindo bora wa maisha unaozingatia ulaji unaofaa na kuepuka kula vyakula vyenye mafuta mengi , kuepuka matumizi ya pombe, uvutaji wa sigara , kuepuka msongo wa mawazo na kufanya mazoezi ya mwili ili kuepuka magonjwa yasioambukiza ambayo yameripotiwa kuchangia asilimia 74 ya vifo duniani kwa mujibu wa ripoti ya shirika la afya duniani ( WHO) mwaka 2022.


Wito huo umetolewa na mratibu wa magonjwa yasioambukiza Wilaya ya Magu Dokta Paulina Silvanus wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasioambukiza iliyofanyika katika Hospitali ya Wilaya ya Magu Jumatatu Novemba 06, 2023.


Akizungumza wakati wa maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasioambukiza Dokta Paulina amesema katika vifo vyote vinavyotokea Hospitali ya Wilaya ya Magu asilimia 30 husababishwa na magonjwa yasioambukiza hivyo amesisitiza kuwa wataendelea kutoa elimu kwa jamii ili kuweza kuboresha na kurekebisha mfumo na mtindo wa maisha ili kupunguza magonjwa yasioambukiza.

Amesema kuwa Hospitali ya Wilaya imeweza kuanzisha kliniki ya magonjwa yasioambukiza kama vile presha , sukari na selimundu ambayo hufanyika kila siku ya jumatano na wastani wa wagonjwa 10- 15 huudhuria kliniki hiyo.


" Pia tumeweza kufanya huduma za mikoba za utoaji elimu na upimaji wa magonjwa yasioambukiza katika kata mbalimbali ndani ya Wilaya ya Magu" amesema Dr Paulina


Kuhusu changamoto Dr. Paulina amesema kuwa uwezo duni wa kumudu ghrama za matibabu hivyo kupelekea watu wachache kuhudhuria kliniki ya magonjwa yasioambukiza.


Kwa upande wake Kiongozi wa damu salama Wilaya ya Magu Lusekelo Charles amehimiza wananchi kujitoa kwa kuchangia damu ili kuokoa maisha ya watu wengine sambamba na kujiwekea akiba pindi unapotokea uhitaji kwao binafsi.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KILIO CHA MAJI MWAMABANZA KUISHA JUNI 2025

    May 16, 2025
  • WADAU WA SANAA MAGU WATAKIWA KUJISAJILI BASATA

    May 07, 2025
  • INEC YARIDHISHWA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA MAGU

    May 03, 2025
  • DC Magu:Wazazi pelekeni watoto wapate chanjo ya polio

    April 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa