• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

MAGU YAZINDUA KAMPENI YA UPANDAJI MITI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI

Posted on: November 17th, 2023


Halmashauri ya Wilaya ya Magu imezindua zoezi la upandaji miti ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa maelekezo ya Serikali kuzitaka Halmashauri zote nchini kupanda miti isiyopungua Milioni moja na laki tano kila mwaka ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na kuhakikisha Wilaya ya Magu inafanya vizuri katika utunzaji wa mazingira.


Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo leo Ijumaa Novemba 17, 2023 ambayo iliamabata na zoezi la ugawaji wa miche ya miti bure , Katibu Tawala wa Wilaya ya Magu Jubilate win Lawuo amesema zoezi la upandaji miti ni faida kwa Wilaya ya Magu katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya chini, kutunza mazingira , kupata vivuli na hali ya hewa nzuri , kupata mvua zenye faida katika kilimo, ufugaji na kusaidia kuinua kipato cha wananchi na Taifa kwa ujumla.

Aidha Katibu Tawala huyo amewaomba wananchi waliokabidhiwa miche ya miti kwenda kuitunza na kuhakikisha inakua ili kufikia lengo kusudiwa na si kuchukua na kwenda kuiweka nyumbani na kutoiendeleza.


Vilevile amempongeza Mhifadhi Misitu wa Wilaya ya Magu kwa kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekeza kila Wilaya kuwa na vitalu vya kuotesha miti na kusambaza katika maeneo mbalimbali ya Wilaya.

Kwa upande wake Mhifadhi Misitu wa Wilaya ya Magu Mashaka M. Mrisho amesema Wilaya ina bustani za kuotesha miti katika maeneo mbalimbli ili kufikia lengo la kupanda miti milioni moja na laki tano kama mkakati uliopo kitaifa kutaka kila Wilaya kufikisha idadi hiyo.

Amesema vitalu vilivyopo Wilaya ya Magu ni pamoja na kitalu cha Magu mjini ambapo wana mpango wa kuotesha miti laki tatu, Bustani ya Shule ya Msingi Nghya miti elfu 50, Busalanga Shule Msingi miche elfu 30, Shule ya sekondari Kabila miche elfu 12, bustani za watu binafsi, na vikundi kwa lengo la kuhifadhi uoto wa asili wa Wilaya ya Magu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • DC NASSARI AONGOZA KIKAO MAANDALIZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU MAGU

    May 21, 2025
  • KILIO CHA MAJI MWAMABANZA KUISHA JUNI 2025

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa