• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika Kiwilaya katika kata ya Kitongosima Tarehe 16.06.2017

Posted on: June 16th, 2017

Mkuu wa Wilaya  ya Magu Mwl. Khadija Nyembo  amehutubia Wananchi katika kilele cha Maadhimisho ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika katika Wilaya ya Magu kata ya Kitongosima Kijiji cha Lugeye. Ameanza kwa kuwashukuru viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu na wananchi wote kwa ujumla kwa heshima kubwa ya kuwa mgeni rasmi. Aidha, ameupongeza uongozi wote wa Kata ya Kitongosima hasa Mheshimiwa Diwani na viongozi wa Vijiji vya lugeye, Kigangama na Kitongosima kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuandaa sherehe. 

Amesema Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni “Maendeleo Endelevu 2030, Imarisha Ulinzi na Fursa Sawa kwa Watoto”.  Ni jukumu la serikali na jamii yetu kwa ujumla, kuona kuwa ulinzi wa mtoto unaimarishwa kuanzia ngazi ya kaya na jamii kwa ujumla, aidha Serikali ihakikishe watoto hasa wa kike wanapata haki za kuishi, kuendelezwa, kulindwa, kushiriki na kutobaguliwa katika masuala mbali mbali ya Kijamii na Kiserikali. Watoto wengi hasa wenye ulemavu wanakabiliwa na matatizo mbalimbali, ambao ni jukumu letu kuwatetea na kuwalinda.

Jukumu la kulea, kutunza na kuwaendeleza watoto ni letu sote, Kila mmoja wetu anao wajibu wakuhakikisha kwamba watoto wanakua na kuishi katika mazingira yaliyo bora na salama. Hata hivyo wajibu wa kwanza upo mikononi mwa wazazi yaani Baba, Mama na walezi. Hawa ndiyo nguzo muhimu ya maisha ya watoto wetu, aidha wanao wajibu mkubwa wa kuhakikisha watoto wanapata mahitaji yao yamsingi ikiwani pamoja na mapenzi ya wazazi ili kuwawezesha kukua katika hali ya upendo na furaha.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WADAU WA SANAA MAGU WATAKIWA KUJISAJILI BASATA

    May 07, 2025
  • INEC YARIDHISHWA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA MAGU

    May 03, 2025
  • DC Magu:Wazazi pelekeni watoto wapate chanjo ya polio

    April 30, 2025
  • WAANDISHI, WAENDESHA BVR 136 WALA KIAPO MAGU

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa