• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Avutiwa na Umoja wa Viongozi Wilayani Magu

Posted on: May 22nd, 2019

Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Mwaka, 2019 Ndugu, Mzee Mkongea Ali amevutiwa na mshikamano wa viongozi wa Serikali Wilayani Magu na amewataka watalaam na watendaji wa Serikali Wilayani Magu kuendelea na umoja huo katika kusimamia miradi ya maendeleo kwa weledi kwa mujibu wa taaluma zao, haya yamejili  katika mbio za mwenge wa Uhuru Wilayani Magu tarehe 20.05.2019.

Akitoa ujumbe wa mbio za mwenge, Kiongozi wa mbio za mwenge amepongeza  viongozi wa Wilaya ya Magu kwa mshikamano na ushirikiano uliopo Wilayani wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya Dr. Philemon Sengati (PhD), Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Lutengamo G. Mwalwiba, Mheshimiwa Mbunge wa jimbo la Magu Destery B. Kiswaga pamoja na Viongozi wa chama cha Mapinduzi.

Aidha amewataka wananchi kufanya kazi kwa bidii, kudumisha umoja na mshikamano na kulipa kodi. Katika kaulimbiu isemayo “Maji ni haki ya kila mtu, Tutunze vyanzo vyake na tukumbuke kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa” amesema “ Serikali inafanya juhudi za kuondoa kero ya maji kwa wananchi wake na kuwapatia maji safi na salama. Katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, chagua viongozi bora, waadilifu na wachapa kazi. Wananchi  wajitokeze kupima Afya zao kwa hiari ili kuepuka maabukizi mapya ya VVU, kuacha kutumia dawa za kulevya, kuepuka malaria kwa kutumia chandarua kwa usahihi na kupinga Rushwa”  

Amekabidhi hundi zenye jumla ya Tshs 46,000,000.00 kwa vikundi 13 vya wanawake, vikundi 3 vya vijana  na vikundi 2 vya watu wenye ulemavu na amesema miradi yote imepita bila kupingwa.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Magu Dr. Philemon Sengati ametoa taarifa fupi mbele ya kiongozi wa Mwenge Kitaifa kuwa Mwenge utachochea maendeleo katika Wilaya ya Magu kwa kutembelea miradi 11, ambayo itafunguliwa, kuzinduliwa na kuwekewa mawe ya msingi. Na Kwamba Dr. Sengati amesisitiza kuwa Wilaya ya Magu ni bora katika Mkoa wa Mwanza kwenye suala la maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • DC NASSARI AONGOZA KIKAO MAANDALIZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU MAGU

    May 21, 2025
  • KILIO CHA MAJI MWAMABANZA KUISHA JUNI 2025

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa