• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) yashauri Rasimu ya Bajeti ya 2018/2019

Posted on: January 23rd, 2018

Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Magu (DCC) Imekutana katika kikao maalum cha kushauri Rasmu ya Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Magu kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

Akiongoza kikao hicho Mwenyekiti wa DCC ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Magu Mwalimu Khadija Nyembo, amewaomba wajumbe kuishauri serikali kwa busara, “ushauri wenu ni tija kwa Maendeleo ya wilaya yetu”  amesisitiza Mwl. Khadija Nyembo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Magu, Lutengano Mwalwiba amesema kuwa Rasimu hii ya Bajeti imezingatia Dira ya maendeleo ya Taifa kufikia 2025. Mpango wa pili wa miaka mitano wa Taifa. Ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM ya 2015-2020,

Pamoja na Mambo mengine Bajeti hiyo imejikita katika kuleta matokeo chanya na yenye kugusa maisha ya Wananchi mmoja mmoja, Pia Bajeti, imejikita katika Miradi inayolenga kuzingatia malengo endelevu 17 ya mwaka 2030. Pia imezingatia Hotuba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli aliyolihutubia Bunge wakati akilizindua Mwezi Novemba, 2015, aidha ameieleza kamati kuwa Halmashauri inatarajia kutumia 44,053,595,000.00 kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

vipaumbele kumi vimeanishwa katika Rasmu ni kama ifuatavyo;-.

Kuongeza mikakati ya kimiradi ili kuongeza mapato ya Halmashauri, kama vile ;-

kujenga stendi ya Magari makubwa ya Mizigo Kisesa.

Ujenzi wa Stand ya Hiace Kisesa na Nyanguge,

Ujenzi wa scheme mbili za Kilimo cha Umwagiliaji, Sawenge na Mwamibanga.

Ujenzi wa Chuo cha ufundi VETA -Ilungu.

Ujenzi wa shule ya Bweni ya Wasichana.

Ujenzi wa shule za sekondari za kidato cha 5 na 6.

Kuajili watumishi wapya 1,404

Ukamilishaji wa nyumba za walimu wa shule za Msingi.na sekondari.

Wajumbe wa kamati ya ushauri nao wamepata muda mzuri na kushauri  maeneo mbalimbali katika Rasmu ya Bajeti, Hivyo kikao kimekuwa na mafanikio makubwa zaidi kwani Bajeti inaaksi pia fursa kwa vijana na Wanawake. Rasimu hiyo ushauri wa DCC Utafikishwa kwenye kamati za kudumu za Halmashauri pamoja na Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Magu.

Kikao kimehudhuriwa na Viongozi wa Vyama vya siasa, Viongozi wa Sekta binafsi, Wakuu wa idara na vitengo, Maafisa Tarafa, Watendaji wa Kata zote, Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama Wilaya akiwemo Katibu Tawala wa Wilaya ya Magu, Ndg. Menruf F. Nyoni, Mkurugenzi Mtendaji (W)(DED) ambaye ni katibu wa kikao hicho na Mkuu wa Wilaya (DC) ambaye pia ni mwenyekiti.wa kikao hicho.

“Kwa pamoja tunajenga Magu yetu”

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KISWAGA AZIPIGA JEKI KATA 12 KWA MIFUKO 1040 YA SARUJI, MADAWATI 130

    June 06, 2025
  • Shule 53 Magu zagawiwa zana za kufundishia wanafunzi wa awali

    June 05, 2025
  • TFS MAGU YAGAWA MICHE 200,000 YA MITI KUUNGA MKONO JITIHADA ZA SAMIA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    June 04, 2025
  • PPRA YAWAPIGA MSASA WALIMU WAKUU, WATENDAJI KATA MAGU KUHUSU MATUMIZI MFUMO NeST

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa