• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) Yapitia na Kujadili Rasimu ya Mpango wa Bajeti Kwa Mwaka 2019/2020

Posted on: January 23rd, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Magu Dkt. Philemon Sengati leo tarehe 22.01.2019 ameongoza kikao cha kamati ya ushauri ya Wilaya (DCC) kupitia nakushauri Rasimu mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2019/2020, Kikao hicho kimehudhuriwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya aliyewakilishwa na Afisa Mipango, Mwenyekiti wa Halmashauri Hilali Elisha, Viongozi wa vyama vya siasa, Wakuu wa Idara, Maofisa Tarafa, Watendaji wa Kata na Kamati ya Ulinzi na Usalama.

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, akiwakaribisha wajumbe katika kikao hicho maalum cha kujadili bajeti, ameshukuru wajumbe kwa mahudhurio na kuwataka kuwa huru katika kupitia na kujadili mapendekezo ya bajeti, amesisitiza kuwa wazalendo katika kujadili mapendekezo haya ya bajeti kwa ajili halmashauri yetu. 

Akiwasilisha rasimu ya bajeti Kaimu Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu Emmilian Makomelelo amesema kuwa Halmashauri ya Magu inaomba kuidhinishiwa 50.9 bilioni kutoka vyanzo vyake mbalimbali na kutoka Ruzuku ya Serikali kuu. “Rasimu ya bajeti imejikita katika miradi inayolenga kuzingatia malengo endelevu 17 ya mwaka 2030 (SDGs), pia miradi hiyo imelenga kuleta matokeo chanya na yenye kugusa maisha ya Wananchi moja kwa moja”amesema Makomelelo

Rasimu ya Bajeti imeanisha vipaumbele vya bajeti,ambavyo ni pamaja na kuanzisha Stand ya Hiace Kisesa, Nyanguge na kabila, Ukamilishaji wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu kwa shule za Msingi na Sekondari, Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) Katika Hospital ya Wilaya ya Magu, Ukamilishaji wa ujenzi wa zahanati, Ukamilishaji wa miradi maji na uchimbaji wa visima, Kupunguza uhaba wa watumishi kwa kuajiri watumishi wapya 1481, katika kada za Afya, Elimu, Wahasibu, Kilimo, Usatwi wa jamii utawala na kada zingine.

Wajumbe wa kikao hicho wamepata nafasi ya kujadilikwa uwazi rasimu ya bajeti, wameshauri miradi viporo ya muda mrefu ipewe kipaumbele katika mwaka huu, ambapo Idara ya Afya imeanisha kukamilisha ujenzi wa zahanati 16 za Nsola, Nyang’hanga, Inolelo, Igombe, Matela, Lutale,Isangijo, Ikengele, Shishani,Nyashigwe, Salong’we, Shinembo, Kitumba,Ihayabuyaga, na Langi.

Kwa kauli Moja wajumbe wameridhia kupitisha Rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa mwaka 2019/2020 katika Halmashauri ya wilaya ya Magu kama ilivyopendekezwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • DC NASSARI AONGOZA KIKAO MAANDALIZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU MAGU

    May 21, 2025
  • KILIO CHA MAJI MWAMABANZA KUISHA JUNI 2025

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa