• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Halmashauri ya Wilaya ya Magu Imetembelewa na wageni kutoka TASAF Makao Makuu.

Posted on: May 26th, 2017

Halmashauri ya Wilaya ya Magu imetembelewa na wageni kutoka Benki ya Dunia, Ikulu, TASAF Makao Makuu  na TASAF Mkoa. Lengo la ugeni huo ni kuangalia dhumuni la Malipo yanavyofanyika  kwa walengwa wa kaya Maskini katika Mamlaka za Serikali za mitaa sambamba na maandalizi ambayo serikali imeanza kufanya  kwa ajili ya kunusuru kaya maskini awamu inayofuata. Halmashauri ya Wilaya ya Magu ni Miongoni mwa Halmashauri nne (4) zilizotembelewa kwa niaba ya Halmashauri zote 185 Tanzania Bara kwani  imeonekana kufanya vizuri katika kutekeleza shughuli za kunusuru kaya Maskini. Ziara hiyo pia imefanya Mapitio ya kawaida ya utekelezaji ya nusu mwaka.

Wageni hao wamepokea mapendekezo mbalimbali ya kuboresha huduma za TASAF kutoka kwa wakuu wa Idara za Halmashauri na vitengo. Wakuu hao wa Idara wameanza kwa kupongeza kazi nzuri zinzofanywa na TASAF kwani katika idara ya Afya mahudhurio ya klinik yameongezeka, Lishe na wananchi wengi wamejiuga na CHF kupitia mradi wa TASAF. Wanafunzi wanaohudhuria shuleni wameongezeka na wanafika shuleni kwa wakati kwa sababu wanatimiziwa mahitaji yao. Wakuu wa idara wameshauri kuangalia dhana  ya uendelevu kwa walengwa ili waweze kutoka hatua moja kwenda nyingine.

Wameshauri kuweka Mpango mzuri na usimamizi ili matokeo yaonekane kwa walengwa, kusaidia walengwa kwa vikundi ambapo wao wenyewe wataibua kitu cha kufanya ili wawezeshwe, kubainisha kundi la watoto yatima ili waweze kusaidiwa, kuangalia maeneo mengi yenye umasikini kama vile Wavuvi na wasaidiwe kujikinga na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI, kuweka kipaumbele cha maji kwenye mradi ujao na miundombinu mbalimbali itakayowasaidia walengwa na kuweka uhusiano mzuri kati ya TASAF na Halmashauri.

Mkurugezi Mtendaji  (W) amewashukuru wageni kutoka TASAF kutembelea wilaya ya Magu. Aidha wageni pia wameshukuru kwa ushirikiano uliooneshwa na Uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Magu nakupongeza kusimamia vizuri mradi wa Kunusuru kaya Maskini.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • PPRA YAWAPIGA MSASA WALIMU WAKUU, WATENDAJI KATA MAGU KUHUSU MATUMIZI MFUMO NeST

    May 27, 2025
  • Mchengerwa aagiza maofisa habari kukabidhiwa ofisi

    May 23, 2025
  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa