• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

DED Magu Azindua Mafunzo ya Ukusanyaji Takwimu za Uvuvi Kwa Njia ya Mtandao

Posted on: January 4th, 2019

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya yaMagu Lutengano George Mwalwiba, akiwa ni Mgenirasmi amezindua mafunzo ya ukusanyaji wa takwimu za uvuvi katika ziwa Victoriakwa kutumia mtandao wa simu za kiganjani. Mafunzo hayo ambayoyamefanyika wilayani Magu na kuwahusisha maafisa uvuvi na wakusanyaji takwimuza mavuvi kutoka Wilaya za Misungwi,Buchosa,Sengerema, Nyamagana, Ilemela, Magu,Busega, Bunda, Ukerewe, Butiama, Musoma mjini na vijiji, Rorya na Tarime.Watalaam kutoka kituo cha utafiti wa uvuvi mkoa wa Mwanza, Watalaam wa taasisi ya utafiti wa uvuvi Tanzania(TAFIRI) pamoja na Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Uvuvi Tanzania Bwana Mayala Philipo.

Mafunzo yaliandaliwa na Taasisi ya utafiti wauvuvi Tanzania(TAFIRI) chini ya Wizara ya mifugo na uvuvi, Lutengano Mwalwibaamewataka watendaji wakuu wa idara ya uvuvi kufanya kazi kwa weledi, “Katikazama hizi ndugu zangu utapimwa kwa kile ulichofanya hizi siyo zama zaubabaishaji twendeni tukafanye kazi kwa bidii na mipango madhubutiitakayosaidia Serikali yetu kukusanya mapato ya kutosha kupitia sekta hii nyetiambayo inachangia pato kubwa la Serikali”, Amesema Lutengano DED Magu.

Pamoja na kuzindua mafunzo Lutengano pia amekabidhisimu kwa maafisa uvuvi wa wilaya zote 13, waliohudhuria, amesema kuwa “ lazimasasa tuwe wakweli mfumo huu wa ukusanyaji wa takwimu za uvuvi kwa njia yamtandao unaweza kukuumbua maana unasoma mpaka mahali ulipo, lakini utarahisishakukusanya taarifa sahihi na kwa wakati, hivyo tumieni taaluma zenu kulindaheshima zenu za kitaaluma na kutoingiliwa na watu wengine wasiokuwa wanataalumawa eneo lenu, zitendeeni haki taaluma zenu hizi simu ni mali ya Serikalimkazitumie kwa kazi iliyokusudiwa na kwa uadilifu”. 

Awali Afisa uvuvi Wilaya ya Magu Tausi Kiulaakiwa ni mwenyeji wa Mafunzo hayo, ameshukuru Wizara kwa kuleta mfumo waukusanyaji takwimu kwa njia ya simu, “Hii itatusaidia kupata takwimu sahihi nakwa muda muafaka na kwa namna ya pekee itaondoa zana ya kupika takwimu kamailivyokuwa hapo awali. Lakini kwa hatua hii mpya tunaamini kuwa baada yamafunzo haya tutakwenda kuokoa mapato ya uvuvi yaliyokuwa yakipotea kutokana naukosefu wa takwimu sahihi za wavuvi”.

Dr. Onyango (UDSM) kitengo cha utafiti wa uvuvi amesemakuwa Serikali imekuwa ikipata 48% ya mapato na uvuvi kwa mfumo uliokuwepo waanalogia, lakini sasa kupita mfumo mpya wa mtandao Serikali itaokoa mapato yauvuvi kwa 52% ambayo kila mwaka yalikuwa yakipotea. Pia Mwalikishi waMkurugenzi wa Uvuvi Tanzania Bwana Mayala Philipo amesema kuwa Wizara ya uvuviimekuja na huu mfumo baada ya tafiti za kutosha kuwa ilikuwa inakosa takwimusahihi kutoka katika wavuvi wote kwa maana ya maziwa na bahari, “Lakinitunaimani kuwa mfumo huu utaiwezesha Wizara kufikia malengo yake ya kukusanyamapato kwa halisi lakini kujua hali halisi ya wavuvi nchini. Mmoja wa wakufunziwa mfumo amesema kuwa mfumo huo unatumia gharama nafuu ni kama Tshs 500/- kwawiki hivyo serikali itatumia kiasi kidogo sana kukusanya mapato makubwa zaidina kila taarifa itaingia mojamoja kwenye kanzi data ya wizara. Hakutakuwa nausumbufu wa kukusanya fomu za takwimu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • DC NASSARI AONGOZA KIKAO MAANDALIZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU MAGU

    May 21, 2025
  • KILIO CHA MAJI MWAMABANZA KUISHA JUNI 2025

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa