• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

DED Magu atoa msaada wa Runinga kwa Wanafunzi wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Itumbili

Posted on: June 6th, 2019

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu Lutengano George Mwalwiba, leo tarehe 05.06.2019 ametoa msaada wa runinga moja yenye thamani ya Shilingi milioni moja na laki nne kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum wanasoma katika wa shule ya msingi Itumbili.

DED Lutengano amewaeleza Walimu na Wazazi wa watoto wenye mahitaji maalum kuwa, Mwaka jana alipata nafasi ya kuwaandalia chakula na kula pamoja wanafunzi , ambapo kupitia hafla hiyo aliahidi kuwanunulia Runinga moja kwa ajili ya kuangalia na kufundishia, “Hivyo leo Mungu amenibariki natimiza nadhili hii kwa Mungu na kwenu ninyi wanangu mnasoma hapa, Kwani katika maandiko matakatifu imeandikwa kuwa ‘ Waweza kumjaribu Mungu kwa Matoleo”

Aidha Lutengano amemshukuru Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Magu Mhe Kiswaga kwa kununua king’amuzi cha azam ambacho kitawezesha Runinga hiyo kufanya kazi kuanzia leo, pia ameahidi kuwa ataendelea kulipa ankala yake kila mwezi. Vilevile ametoa wito kwa jamii kuacha kuficha watoto wenye mahitaji maalum bali wawalete shuleni. Pia amewapongeza Walimu wote wa shule ya Msingi Itumbili kwa kazi yao nzuri ya kuwalea na kuwahudumia watoto hao kwa upendo mkubwa.

DED Lutengano ameambatana Mganga Mkuu Dr.Maduhu, Mchungaji Maliganaya wa KKKT-Magu, Afisa mipango Wilbard Bandola, Afisa Ustawi wa Jamii Coretha Sanga, Ridhiwan Shukuma -Mweka hazina, wakuu wa Idara hao nao wamemuunga mkono Mkurugenzi ambapo Dr.Maduhu na Afisa mipango wamejitolea kuwalipia wanafunzi wote bima ya afya, Huku Mweka hazina na Afisa Ustawi wao wamejitolea kununua vyerehani viwili ikiwa ni moja mahitaji makubwa kwa wanafunzi hao. Huku Mchungaji Maliganya ameahidi kilo 60 za mchele mapema watakapofungua shule.

Mwalimu Mkuu wa Rhobiry Chacha amempongeza Mkurugenzi pamoja na wakuu wa Idara kwa upendo wake wa pekee na moyo wa utoaji sadaka zenu hizi, Hakika Mungu awatapa thawabu yake, Pia Runinga hii itatusaidia sana kuwafundishia watoto wetu hawa wenye mahitaji maalum, kwani Walimu walikuwa wanahangaika kuweka masomo kwenye kompyuta zao mpakato na kuanza kuzunguka kuwaonesha wanafunzi lakini Sasa hii Runinga ya inch 43, itarahisisha sana ufundishaji na itachochea kuongeza ufaulu.

Akizungumza kwa niaba ya Wanafunzi Bahati Chacha darasa la sita ambaye ni mlemavu wa macho, amemshukuru na kumpongeza Mkurugenzi mtendaji kwa moyo wake wa kuwajali , na hata Mwaka jana alikuja tulijumuika naye, Sisi tunampongeza sana kwa hii Runinga itatuwezesha kupata habari mbalimbali pia tunaoishi hapa itakuwa ni ya msaada sana kwetu, Kwani hatukuwa tukipata habari muda wote , Tumashukuru na Mungu azidi kumbariki kwa upendo anaotutendea ni Kiongozi anayejitoa na amedhamiria kusaidia jamii vizuri hasa sisi walemavu.

Magu kazi na maendeleo =Kusema na kutenda

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WADAU WA SANAA MAGU WATAKIWA KUJISAJILI BASATA

    May 07, 2025
  • INEC YARIDHISHWA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA MAGU

    May 03, 2025
  • DC Magu:Wazazi pelekeni watoto wapate chanjo ya polio

    April 30, 2025
  • WAANDISHI, WAENDESHA BVR 136 WALA KIAPO MAGU

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa