• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

DC Magu Aongoza Kikao cha kwanza cha kamati ya Ushauri wa Kodi ya Wilaya

Posted on: January 8th, 2019

Mkuu wa Wilaya Magu Mheshimiwa Dkt.. Philemon Sengati ameongoza kikao cha kwanza cha mwaka cha kamati ya ushauri wa kodi Wilaya.Kikao hicho kimefanyika Ofisini kwa Mkuu wa Wilaya na kuhudhuriwa na Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo ambaye pia ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya Ndg: Lutengano G. Mwalwiba. Kamati ya hiyo imehudhuriwa pia na wajumbe wake akiwemo Mheshimiwa Kiswaga Mbunge, Afisa Mtendaji wa Mamlaka ya Mji mdogo Magu, Mkuu wa Polisi wilaya, Meneja Wilaya wa Mamlaka ya mapato (TRA) ambaye nikatibu wa kamati hiyo, Afisa biashara wilaya, Mwenyekiti wa TCCIA na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya..

DC Sengati amesisitiza kuwa zoezi la ugawaji wa Vitambulisho vya wafanyabishara wadogo, vilivyotolewa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, tayari vimeshapelekwa kwawatendaji wa vijiji ambao wanaendelea na kuwaratibu walengwa na kuwapatia kwa mujibu wa maelekezo yalitolewa na Serikali. Vilevile DC Sengati ameagiza kwa Wananchi wote kuwa suala kulipa kodi ni lazima hivyo wajitokeze mapema kwenye Ofisi za Mamlaka ya Mapato ili waweze kulipa kodi kama sheria inavyowataka.

Dkt. Sengati kupitia kikao hicho amemtaka menejawa mapato kuhakikisha kuwa anashughulikia tatizo la upungufu wa wafanya kazi katika Ofisi yake ili kuondoa kero inayowakwamisha kuwafikia walipa kodi kutokana na kukosekana kwa Dereva wa gari la TRA, aidha amesisitiza kuwa katika kipindi hiki “Sisi na Halmashauri tuko tayari kuwapatia ushirikiano ilimsikwame” amesema Dkt.. Sengati. 

Wajumbe wa Kamati wamesisitiza Mamlaka ya mapato kushirikiana na Ofisi ya biashara Wilaya ili kufanikisha kuwabaini walipa kodi wenye sifa ya kutumia mashine za kielekitronic (EFD) ili waweze kushauriwa kuzipata na kuanza kuzitumia mara moja ili kuinua ukusanyaji wa mapato katika wilaya. Kamati imeshauri pia Mamlaka ya mapato iendelee na juhudi zake za kutoa elimu kwa walipa kodi na ikibidi kuwatembelea katika maeneo yao ya biashara hasa katika miji ya biashara ya kisesa, Nyanguge, Kabila na Mahaha.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • DC NASSARI AONGOZA KIKAO MAANDALIZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU MAGU

    May 21, 2025
  • KILIO CHA MAJI MWAMABANZA KUISHA JUNI 2025

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa