• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

DC Magu Afanya Ziara Katika Gereza la Magu na Kutoa Msaada kwa Wafungwa

Posted on: July 30th, 2019

Mkuu wa wilaya ya Magu ambaye pia mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya Dr. Philemon Sengati (PhD), amewatembelea wafungwa na mahabusu 190 walioko katika gereza la Wilaya ya Magu, amepata wasaa wa kuwasiliza, kuongea nao pia amewapatia msaada wa mahitaji mbalimbali kwa ajili ya matumizi yao.

DC Sengati amewasili gerezani hapo akiwa ameongozana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, ambapo wafungwa na mahabusu wamemweleza matatizo mbalimbali yanayowakabili yakiwemo kesi zao kucheleweshwa na ukosefu wa maji ya kutosha.

Akijibu kero na Malalamiko DC Sengati amewataka Wafungwa na Mahabusu  kuwa na imani na uvumilivu haya ambayo yanatoakana na Ucheleweshaji wa kesi kwa kigezo cha upelelezi OCD “nakuomba ulishughulikie hasa kwa makosa madogo madogo, na mengine yanayohusu mhimili wa Mahakama mawasiliano yatafanyika ili kutatua hizi kero zenu kwani tunaamini watazifanyia kazi” amesema Sengati. Suala la Maji amewataka wafungwa kuwa na subira kwani siku sio nyingi mradi mkubwa wa Maji Magu Mjini utazinduliwa.

Aidha DC amewapatia wafungwa  mahitaji mbalimbali kama vile Sabuni, Mafuta ya kupakaa, Miswaki na Dawa ya meno.

Wafungwa na Mahabusu wamemshukuru DC Sengati na kusema kuwa  “Asante Ndugu Mkuu wa Wilaya na msafara wako kwa kutukumbuka tumefarijika kuwa tuna kiongozi anayejua kuwa sisi ni wahitaji, Tunakuomba kila upatapo fursa njoo utusalimie na utusikilize na Mkuu wetu wa Gereza na Maofisa wote wa magereza wanatulea kwa maadili mema tunaamini tumeshabadilika. Tufikishie Salamu zetu kwa Mheshimiwa Rais kuwa tunampongeza sana kwa Kazi nzuri na kitendo chake cha kwenda Butimba Gerezani kuongea na Wafungwa na mahabusu kimetuaminisha kuwa sasa haki itatendeka"

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MILIONI 250 ZA MFUKO WA JIMBO ZAACHA ALAMA MAGU

    June 09, 2025
  • WAKULIMA MAGU WAMPA TANO KISWAGA KUCHOCHEA KILIMO CHA UMWAGILIAJI

    June 07, 2025
  • KISWAGA AZIPIGA JEKI KATA 12 KWA MIFUKO 1040 YA SARUJI, MADAWATI 130

    June 06, 2025
  • Shule 53 Magu zagawiwa zana za kufundishia wanafunzi wa awali

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa