• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Baraza la Madiwani Limepitisha Rasimu na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019

Posted on: January 29th, 2018

Afisa Mipango na Takwimu kwa niaba ya Mkurugenzi  Mtendaji  (W) amewasilisha mapitio ya Bajeti  ya Mwaka 2016/2017, 2017/2018 na Rasimu  Mpango wa bajeti ya mwaka 2018/2019 mbele ya wajumbe wa Baraza la Madiwani la Halmashauri. Ameeleza kwamba, katika kuandaa bajeti ya mwaka 2018/2019, Halmashauri imejikita katika miradi inayolenga kuleta matokeo chanya na yenye kugusa maisha ya wananchi moja kwa moja, kukamilisha viporo na madeni ya wazabuni kabla ya kuanzisha miradi mipya, na miradi inayolenga kuzingatia malengo endelevu 17 ya mwaka 2030 (SDGs).

Kwa kifupi ameeleza vipaumbele vya bajeti ya Halmashauri kuwa ni kama ifuatavyo;-

  • Kuanzisha miradi ya kimkakati kwa ajili ya kuongeza mapato ya Halmashauri kwa ujenzi wa maegesho ya magari makubwa , stendi ya Hiace Kisesa, ujenzi wa vibanda katika masoko, ukarabati wa kituo cha utalii Kageye na skimu za umwagiliaji.
  • Ukamilishaji wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu katika shule za Msingi na Sekondari.
  • Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika Hospitali ya Wilaya.
  • Uanzishwaji wa shule ya kidato cha 5 na 6.
  • Uanzishwaji wa chuo cha ufundi stadi Ilungu.
  • Ujenzi wa shule ya Bweni ya Wasichana.
  • Ukamilishaji wa miradi ya Maji na uchimbaji wa Visima.
  • Ukamilishaji wa zahanati na Vituo vya Afya
  • Kupunguza uhaba wa watumishi kwa kuajiri watumishi wapya 1404.

Wajumbe wa Baraza la Madiwani wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Hilali Nassoro Elisha ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Nyanguge, wamepongeza menejimenti kwa ushirikiano ulioonyeshwa katika kuandaa vikao vya bajeti kuanzia CMT, baraza la wafanyakazi, DCC, Kamati za kudumu za Halmashauri, hadi Baraza la Madiwani, pia wamepongeza mpango wa Bajeti  kwani umezingatia masuala mtambuka kama vile ushirikishwaji wa Wananchi na wadau wa masuala ya jinsia , mazingira, vijana, UKIMWI, na kuzuia Rushwa.

Aidha baada ya pongezi hizo, wajumbe kwa kauli moja wamepitisha rasimu ya Mpango wa bajeti ya mwaka 2018/2019 ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Magu imeomba kuidhinishiwa Jumla ya Tshs.45,057,115,000.00 kutoka vyanzo vyake mbalimbali na kutoka ruzuku ya serikali kuu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • DC NASSARI AONGOZA KIKAO MAANDALIZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU MAGU

    May 21, 2025
  • KILIO CHA MAJI MWAMABANZA KUISHA JUNI 2025

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa