• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA MAGU FEBR 2023

Posted on: February 21st, 2023

Mkuu wa wilaya ya magu Mh Rachel kassanda ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya hiyyo siku ya tarehe 20/02 alifanya ziara ya kutembelea miradi minne inayotekelezwa wilayani humo kupitia mfuko wa kunusuru kaya masikini TASAF ambayo (ZAHANATI katika kijiji cha bugando,nyumba ya watumishi  zahanati ya ihayabuyaga,nyumba ya watumishi shule ya masingi lutale pamoja na vyumba viwili vya madarasa shule mpya ya sekondari Igekemaja )  mh mkuu wa wilaya pamoja na kamati waliridhishwa  na  usimamizi mzuri wa fedha kwa kwa watendaji wote waliosimamia miradi yote nakuwaomba wakamillishe haraka sehemu ndogondogo zilizobaki ili niradi hiyo ianze kutoa huduma haraka kwa wananchi aidha mkuu wa wilaya hiyo alipata nafasi ya kuzungumza na wananchi wa maeneo hayo na kuwaomba waitunze miradi hiyo ambayo imetekelezwa na fedha za serikali lakini pia na mchango wa nguvu za wananchi wenyewe aidha mh RACHEL KASSANDA akiongea na waandishi wa Habari kwa niaba ya wananchi wa wilaya ya magu alimshukur mh rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dk samia suluhu hassan kwa kuendelea kutoa fdha nyingi zinazotekeleza miradi mbalimbali katika wilaya ya magu naye pia kuahidi kuendelea  kusimamia matumizi ya fedha hizo wakati wote wa utekelezaji wa miradi itayoletwa na serikali wilayani magu

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA KAZI ZA UKARANI WA SENSA,USIMAMIZI WA MAUDHUI NA USIMAMIZI WA TEHAMA WA SENSA 2022 WILAYA YA MAGU July 19, 2022
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 WILAYA YA MAGU December 16, 2022
  • Fomu za Maelekezo ya kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 katika Shule za Sekondari Magu (JOINING INSTRUCTIONS) December 29, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • ZIARA YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI

    March 12, 2023
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA CCM WILAYA

    March 12, 2023
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA MAGU ENEO LA MAKUMBUSHO YA KIHISTORIA KAGEYE

    March 01, 2023
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA MAGU MWANZA GIRLS SECONDARY SCHOOL

    March 01, 2023
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa