• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

WAANDISHI, WAENDESHA BVR 136 WALA KIAPO MAGU

Posted on: April 29th, 2025

JUMLA ya waandishi wasaidizi 43, waandishi wasaidizi wa akiba 25, waendeshaji wa vifaa vya bayometriki (BVR) 43 na waendeshaji wa vifaa bayometriki wa akiba 25 walioteuliwa kushiriki zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili, wameapishwa.

Waandishi na waendesha vifaa hivyo wameapishwa leo tarehe 29 Aprili, 2025 katika ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Magu, Ilungu mkoani Mwanza tayari kwa kuanza zoezi hilo la uboreshaji wa daftari hilo awamu ya pili litakaloanza tarehe 1 hadi 7 Mei mwaka huu.

Akizungumza na waandishi na waendesha vifaa hivyo, Afisa Mwandikishaji Jimbo la Magu ambaye ndiye aliyewaongoza katika kiapo hicho, Mohamed Kyande amewataka waandishi hao kufanya kazi kwa ushirikiano na kuzingatia maelekezo waliyopewa.

“Tunaelewa wazi kuwa katika zoezi la awali kulikuwa na washiriki zaidi ya 580, sasa tupo washiriki 136 hivyo unapaswa kujitathmini kwa kupenya kushiriki zoezi hilo… jipongeze. Hili ni takwa la kisheria kwamba wale walioshiriki vema katika zoezi la kwanza waendelee kushiriki katika zoezi la pili.

“Katika wale 580 majina yalipelekwa na kuchujwa hivyo mkiwa hapa tunaamini mmeaminiwa hivyo nendeni mkafanye kazi ipasavyo. Lakini mjue kuwa hata huko unakokwenda unatakiwa kufanya kwa ufanisi kwa sababu utakuwa unafuatiliwa utendaji wenu. Mmepita katika tanuru la moto ni matumaini yetu kuwa hili zoezi mtalifanya vema ili zoezi linalofauata tuendelee kufanya vema,” amesema na kuongeza;

“Hiki kiapo sio suala la kawaida ni la kisheria litatumika kukuhukumu huko unakoenda, hivyo tusifanye masihara”.

Amesema zoezi halitakuwa gumu kama awali lakini pia watapewa ushirikiano kutosha ili kutekeleza majukumu yao ikiwamo kuhakikisha wanaandikisha watanzania halisi wenye sifa za kuchagua na kuchaguliwa katika uchaguzi mkuu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • DC NASSARI AONGOZA KIKAO MAANDALIZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU MAGU

    May 21, 2025
  • KILIO CHA MAJI MWAMABANZA KUISHA JUNI 2025

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa