• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Magu DC Yashinda Mfululizo Tuzo ya Mshindi wa Kwanza Nanenane Kanda ya Ziwa Magharibi

Posted on: August 9th, 2020

“Mungu ushukuriwe kwa mema mengi hasa Neema ya kuishi, Afya na Baraka nyingi anazotukirimu. Leo tarehe1.8.2020 hadi 8.8.2020 maadhimisho ya Nane nane yalifanyika katika Viwanja vya Nyamhongolo Kanda ya Ziwa Magharibi, maonesho hayo yalishirikisha Mashirika, Taasisi, Asasi, Makundi ya Wajasiriamali na wadau wengine wa Kilimo katika kusherehekea siku hii Adhimu ya Wakulima. Halmashauri yetu ya Magu ni miongoni mwa Halmashauri 22 zilizoshiriki maadhimisho hayo na kuibuka kidedea katika Kundi la Halmashauri, Hongereni sana wana Magu wote” amesema DED Magu DC Bw. Lutengano George Mwalwiba.

“Nawapongeza Watumishi wote wa Halmashauri kwa maandalizi mazuri, jitihada na weledi wa hali ya juu katika kusababisha hili kutokea. Nawashukuru Wakuu wa Idara ya Kilimo na Mifugo pamoja na timu nzima ya maandalizi na Usimamizi wa Nanenane. Watumishi wote kwa ada yetu ya ushirikiano wa siku zote, sote ni timu moja. Namshukuru Mkuu wa Wilaya Bw Kalli pamoja na Kamati yote ya Usalama, RS kwa Ushauri na Uratibu kwani Magu ikifanya vizuri ni Mwanza ni Nchi yetu. Hivyo pia nimshukuru sana na kumpongeza Mh RC Mwanza, Mhe. John VK Mongella. Wadau wote wa Wilaya yetu na Wana Magu wote kwa Ujumla, hongereni na ahsanteni sana”. amesema DED Magu DC Bw. Lutengano George Mwalwiba.

“Hii inathibitisha dhamira yetu ya kuacha maneno na kufanya kazi , dhamira si kuwa wa kwanza bali ni kufanya kila jambo kwa ufanisi, ubunifu na nidhamu ili kutoa Huduma stahiki kwa Umma tunaoutumikia. Kilimo kinaajiri 70% ya Watanzania wote na Wataalam wanasema karibu 80% ya malighafi nyingi za Viwanda ni zao la Kilimo. Hivyo basi Halmashauri yetu inatoa ushindi huu kama mchango na jitihada katika kuifikia Tanzania ya Viwanda unaosimamiwa kwa umadhubuti mkubwa na Serikali ya awamu ya Tano” amesema DED Magu DC Bw. Lutengano George Mwalwiba.

Picha ya pamoja DED Magu na Wataalam wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

Picha ya pamoja DED magu, Wakuu wa idara, na wataalam wa kilimo na mifugo.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • DC NASSARI AONGOZA KIKAO MAANDALIZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU MAGU

    May 21, 2025
  • KILIO CHA MAJI MWAMABANZA KUISHA JUNI 2025

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa