• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

KAMATI YA FEDHA WILAYANI MAGU YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAJI

Posted on: August 23rd, 2023

Kamati ya Fedha ya Halmashauri ya Wilaya ya Magu ikiongozwa na Mwenyekiti Bw. Mpandalume Simon imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maji inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu.


Katika ziara hiyo kamati ilitembelea mradi wa maji Magu Mjini kwenda Nyan'gahanga- Iseni ambao ulianza kutekelezwa rasmi Februari 18, 2022 na unategemea kukamilika Mwezi Disemba 2023 ambapo ukikamilika utahudumia wananchi wapatao 31,090 kutoka kwenye vijiji vitano ambavyo ni Mwamibanga , Buhumbi, Nyashoni , Nyan'gahanga na Iseni.

Pia kamati hiyo ilitembelea na kukagua maendeleo ya mradi wa upanuzi wa mradi wa maji Magu Mjini Kwenda Sagani- Mwamabanza ambao umefikia asilimia 70 na ulianza kutekelezwa Mwezi Machi 2022 kwa kutumia Mkandarasi M\S. Chabhoke Costruction Co. LTD kupitia fedha za Programu ya Lipa kwa matokeo ( PforR) , mradi huu ukikamiliika unategemea kuhudumia vijiji vya Sagani, Salongw'e, Mwalinha, Mwamabanza na Mwateleshi, ambapo wananchi wapatao 23,953 watanufaika na huduma ya maji.


Mradi mwingine uliotembelewa na kamati hiyo ni Mradi wa Maji uliopo Kijiji cha Kahangara ambao ulianza kutoa huduma ya maji kwa jamii mwaka 1981 ambapo kwa muda huo wote ulikuwa na mtandao wa mabomba yenye urefu wa 2.4 km na ulikua unatumia chanzo cha kisima kilichofungwa pampu kufikisha maji kwenye tanki la ukubwa wa lita 42,000 na ukiwa unahudumia watu 2,456 kabla ya ukarabati mwaka 2019.

Vilevile Kamati ya Fedha ilitembelea chanzo cha mradi wa maji Magu mjini kwenda Mwamabanza ambao chanzo chake ni Ziwa Victoria ambao unapatikana katika Kijiji cha Bugabu Kata ya Kahangara Wilayani Magu.


Katika Ziara hiyo Kamati ya Fedha iliambatana na Wataalamu kutoka Wakala wa Maji Vijijini RUWASA Wilaya ya Magu na baadhi ya Wakuu wa idara wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WADAU WA SANAA MAGU WATAKIWA KUJISAJILI BASATA

    May 07, 2025
  • INEC YARIDHISHWA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA MAGU

    May 03, 2025
  • DC Magu:Wazazi pelekeni watoto wapate chanjo ya polio

    April 30, 2025
  • WAANDISHI, WAENDESHA BVR 136 WALA KIAPO MAGU

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa