• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

DC Magu aongoza kikao cha Baraza la Biashara Wilaya

Posted on: March 4th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Magu Mheshimiwa  Philemon Sengati (PhD) ameongoza Baraza la biashara la Wilaya ya Magu katika ukumbi wa Mikutano wa Halmshauri ya Wilaya ya Magu  kwa mara ya kwanza tangu Wilaya hiyo kuanzishwa mwaka 1974. Ameunda baraza hilo mwezi February 2018, likihusisha Wajumbe 20 kutoka sekta binafsi na wengine 20 wakitokea sekta ya Umma.

Mkuu wa Wilaya ya Magu kwa mujibu wa mwongozo wa baraza la Biashara ndiye Mwenyekiti wa Baraza, ambaye wakati akilihutubia baraza wakati wa ufunguzi amesema kuwa anapenda kuona baraza hilo likiwa na matokeo chanya na kwamba yeye yuko tayari kushirikiana na wajumbe pamoja na wadau wa kada mbalimbali ili kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara kwa ujumla. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya Fundikira Said yeye ametoa ufafanuzi wajibu na nafasi ya baraza kuwa ni kuimarisha ushirikiano kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi katika kushauriana ili kuondoa vikwanzo na kutatua changamoto ili kuwezesha kuwa na maendeleo endelevu.

Afisa Biashara wa Wilaya ya Magu Bi Sarah Budimu ametoa ufafanuzi wa fursa zilizopo katika Wilaya ya Magu ikiwemo ardhi yenye rutuba, Ziwa Victoria, Miundo mbinu bora ya barabara, Wajumbe wa baraza hasa waliotoka sekta binafsi wamempongeza DR. Sengati (PhD) kwa uchapa kazi wake ni katika kipindi kifupi tangu ateuliwe lakini amekuwa mstari wa mbele katika kutatua kero, migogoro, changamoto za wananchi na hasa kupitia kuundwa kwa baraza hili amekuwa DC wa kwanza kuheshimu miongozo ya Serikali kwa kiwango cha juu sana na kuanzisha jukwaa hili la kuhabalishana mawazo na kusaidia ukuaji wa uchumi katika Wilaya yetu ya Magu.

Wajumbe wa Baraza wamesahuri Serikali kuondoa vikwazo kwa wafanya biashara ili waweze kuvutiwa katika uwekezaji. Pia kuchangamkia fursa kwa kuboresha kituo cha makumbusho ya kihistoria cha Kageye, na kujitahidi kujenga vyuo vya ufundi ili kuwezesha ujuzi na teknolojia kwa wananchi waweze kuwekeza kwa tija zaidi, aidha  baraza limependekeza kuweka mkazo katika utoaji wa elimu ya ujasiliamali kupitia idara ya Maendeleo ya jamii ambayo imeasahaulika kwa kutopatiwa bajeti ya kutosha kinachopelekea kushindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • DC NASSARI AONGOZA KIKAO MAANDALIZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU MAGU

    May 21, 2025
  • KILIO CHA MAJI MWAMABANZA KUISHA JUNI 2025

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa