• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

DC LAWUO AONGOZA KIKAO MAANDALIZI YA MWENGE MAGU

Posted on: July 10th, 2025

MKUU wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, Jubilate Win Lawuo ameongoza kikao cha maandalizi ya mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 kilichofanyika leo tarehe 10 Julai, 2025 katika ofisi za Halmashauri ya wilayani hiyo na kuwasisitiza waratibu kujipanga ili Magu iibuke kinara katika ukaguzi wa miradi na maandalizi ya mbio hizo.

Lawuo ameongoza kikao hicho kwa mara ya kwanza akiwa mkuu wa wilaya ikiwa ni wiki chache zimepita tangu Rais Samia Suluhu Hassan amteua kurithi mikoba ya Joshua Nassari. Awali Lawuo alikuwa Katibu Tawala wa wilaya hiyo.

Amesema Mwenge wa Uhuru katika awamu hii Magu itaupokea tarehe 27 Agosti katika uwanja wa Jiwe la Mkapa Kisesa kutoka wilaya ya Ilemela kisha kuukabidhi wilaya ya Kwimba.

Kikao hicho kimewakutanisha viongozi mbalimbali wa wilaya, akiwemo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Magu, Mohamed Ramadhani, viongozi wa vyama vya siasa, asasi za kiraia, watendaji wa kata, wakuu wa idara na wakuu wa taasisi za umma.

Wengine ni Waratibu wa Mwenge wa Uhuru ki-wilaya, Maafisa Uchaguzi, na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa.

Mwenge wa Uhuru 2025 una kaulimbiu isemayo: “Jitokeze Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa Amani na Utulivu.”

Kaulimbiu hiyo inalenga kuhamasisha ushiriki mpana wa wananchi katika mchakato wa kidemokrasia, huku amani na utulivu vikitajwa kuwa nguzo muhimu za maendeleo ya taifa.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WALIMU 120 AJIRA MPYA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI MAGU

    July 10, 2025
  • DC LAWUO AONGOZA KIKAO MAANDALIZI YA MWENGE MAGU

    July 10, 2025
  • DK. TAX AGAWA MASHINE 2 ZA KUDURUFU, MADAWATI 75 KWA SHULE 3 MAGU

    July 05, 2025
  • DAS MPYA MAGU AKABIDHIWA OFISI, AAHIDIWA USHIRIKIANO

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa