• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

MAGU YAMUENZI BABA WA TAIFA KWA KUSHIRIKI ZOEZI LA KUCHANGIA DAMU NA KUTOA MSAADA KWA WAGONJWA HOSPITALI YA WILAYA

Posted on: October 14th, 2023

Wananchi wa Wilaya ya Magu wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuchangia damu ili kuokoa maisha ya watanzania wanaohitaji damu ili kusaidia uwepo wa damu ya kutosha na kuweza kusaidia maisha ya wagonjwa .


Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Magu Bi. Rachel Kassanda wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 24 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambapo aliongoza Wananchi katika zoezi la uchangiaji damu na kutoa misaada mbalimbali katika hospitali ya Wilaya ya Magu kama sehemu ya kumbukumbu ya kuyaenzi maono ya Mwalimu Nyerere.

" Nawaomba wananchi wa Magu wajitolee kuchangia damu ukiona afya yako ni nzuri na una uwezo njoo uchangie ili uokoe maisha ya mtanzania mwenzako mwenye uhitaji ambae angeweza kupoteza maisha kwa kukosa damu yako " amesema DC Kassanda


Amesema Wilaya ya Magu imeadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa kwa kuwajulia hali wagonjwa na kutoa misaada mbalimbali katika hospitali ya Wilaya ya Magu kama ishara ya kuyaenzi maono ya Baba wa Taifa.

" Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia Mwakilishi wake Mkuu wa Wilaya ya Magu tumemkumbuka Baba wa Taifa kwa kuwatembelea wagonjwa na kutoa misaada mbalimbali kwa wahitaji waliopo katika wodi mbalimbali Hospitali hapa"


Kwa upande wake Mwenyekiti wa umoja wa  waendesha bodaboda Wilaya ya Magu , Mohamed Jumanne amesema wameungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mkuu wa Wilaya ya Magu kuadhimisha kumbukizi ya miaka 24 ya kifo cha Baba wa Taifa kwa kuchangia damu ili kuokoa maisha ya mama na mtoto na kusaidia wagonjwa wenye uhitaji wa damu.

Aidha Mwenyekiti huyo amewahamasisha vijana mbalimbali waliopo Wilaya ya Magu kuendelea kujitokeza kuchangia damu katika hopsitali zilizopo Wilaya ya Magu .

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WADAU WA SANAA MAGU WATAKIWA KUJISAJILI BASATA

    May 07, 2025
  • INEC YARIDHISHWA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA MAGU

    May 03, 2025
  • DC Magu:Wazazi pelekeni watoto wapate chanjo ya polio

    April 30, 2025
  • WAANDISHI, WAENDESHA BVR 136 WALA KIAPO MAGU

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa