• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

TAWLA YATAMBULISHA MRADI WA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA MAGU

Posted on: July 18th, 2025

Chama cha Wanasheria Wanawake (TAWLA) kinatarajia kuwanoa wanawake zaidi ya 1000 wilayani Magu kuhusu masuala mbalimbali ya ukatili wa kijinsia na namna ya kujua haki zao katika umiliki wa ardhi kisheria.

Pia kinatarajia kuwezesha mchakato uanzishwaji wa sheria ndogo za kijiji zenye mrengo wa kutokomeza ukatili wa kijinsia.

Hayo yamebainishwa na Mwanasheria kutoka Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA), Wakili Lightness Raimos alipokutana na wakuu wa idara wa halmashauri ya wilaya ya Magu kwa lengo kuutambulisha mradi Mwanamke Dhabiti katika ngazi ya halmashauri.

Amesema kupitia mradi huo wa Mwanamke Dhabiti, TAWLA wanalenga kumaliza aina zote za ukatili wa kijinsia na kuhakikisha wanawake wanajua haki zao katika kumiliki mali.

“Mradi ulianza rasmi toka Aprili mwaka huu kwa ajili ya utekelezaji lakini ni mradi wa miaka mitatu. Ni mradi ambao utatumia njia mbalimbali kuhakikisha malengo yake yanafikiwa kwa kutoa msaada wa kisheria kwa makundi yote hususani wanawake na wasichana.

“Tutatoa elimu mbalimbali za kisheria, tutasaidia wanawake waliopo kwenye vikundi kupata na kumilikishwa ardhi kisheria, tutawezesha mchakato mzima wa uwepo wa sheria ndogo za kijiji zenye mrengo wa kijinsia,” amesema.

Aidha, amesema wameleta pendekezo linalohusu moja ya mikakati ya utekelezaji juu ya sheria ndogo ili  waweze kushirikiani na vijiji ambavyo vimetajwa kufanikisha zoezi zima la utungaji pamoja na upitishaji wa sheria ndogo ya kijiji.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TAWLA YATAMBULISHA MRADI WA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA MAGU

    July 18, 2025
  • KWAHERI JOSHUA NASSARI, KARIBU DC LAWUO

    July 16, 2025
  • DAS MAGU AWAFUNDA WAGANGA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

    July 16, 2025
  • VIJANA MAGU WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA MIKOPO INAYOTOLEWA NA HALMASHAURI

    July 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa